Yote haya sababu kubwa ni umasikini wetu hakuna lingine. Imagine wote mnatoka middle class families, wote mna walau kipato kinaeleweka, kila mtu anaweza kubeba majukumu yake walau kwa kiasi kikubwa, hatuwezi kuja na hizi drama.
Mtu unatoka familia Mungu ndio anajua, wewe mwenyewe Mungu ndio anajua, it's obvious utahitaji mtu atakayekujali kifedha kwanza kabla ya kihisia.
Tupambane na huu umasikini ndugu zangu, ili tufikie mahali mtu uingie katika mahusiano sio kwa vile yule dada ana pesa au kwa vile yule kaka yuko vizuri. Such relationships are like slavery!!!