Yani we acha tu aise...
Nikikumbuka tulivyokuwa tunakula ugali na maji yenye chumvi[emoji17][emoji17][emoji17]sitamani wanangu wapite huko aiseh ni maumivu lakini pia imenifundisha maisha.
Kwa ufupi maisha niliyoyapitia yamekuwa funzo tosha..ndo mana nikimuona mtu anapitia shida hasa mama na mtoto natesekaga sana.naumia zaidi nikiwa sina uwezo wa kumsaidia kwa kipindi husika.[emoji24][emoji24]
lakini mtu akiona miandiko humu ndani anajua huyu wa kishua haijui shida[emoji1][emoji1]my friend acha tu aise.
Shukrani za dhati kabisa zimuendee dear Ex kwa kunionesha mwanga wa maisha.Mungu amtunze,amfungulie kila aina ya kifungo kilichofungwa juu yake bila yeye kujua,aendelee kuwa mzima wa afya maradhi yapite mbali nae,aishi maesha marefu yenye afya na uzima,milango ya Baraka ikafunguliwe juu yake,Baraka tele zikamiminike katika uzao wake Amen.
J,Mungu akutunze mwamba unamoyo wa ajabu mno.