Ulishawahi kukataliwa kwasababu hukuwa na kitu kisha ukaja kukubaliwa baada ya kupata?

Ulishawahi kukataliwa kwasababu hukuwa na kitu kisha ukaja kukubaliwa baada ya kupata?

Tatizo watu mkiambiwa pesa basi mnadhani yani mtu awe na maburungutuuu!!!!!
Ndugu mapenzi na pesa ni are inseparable!!! Ukitaka kwenda kula tunda you need money, mkale, mnywe kidogo, ulipe lodge..... Pesa inahitajika
...Na “nauli” ya kumrudisha kwake/kwao. Ni dhambi kubwa sana mtoto wa kike umtindue harafu ajilipie nauli kurudi kwake
 
Hasara tupu......
Kuna boya mmoja nilimpendaga aise hata hamsini mbovu alikuwa hanipi(hana hela)lakini ulikuwa huniambii kitu loh....nilishindwa maana tulikuwa tukikaa hazijapita dakika mbili tushakwaruzana kha!!muda wote kajawa na amri tu [emoji17][emoji17]siku nyingine natamani kudeka deka..basi hata nikitengeneza mazingira ya kubadilisha sauti iwe kama ya Celine Dion ohooooo...nakutana na sura ya vita...woooooiiii..

Na ubandidu wake hivyo hivyo loh.Shikamoo mapenzi marahaba sit down.kha
Onaa sasa mapenzi hakuna pesa hakuna biashara gani hii
 
acha

acha urongo! sisi hohe hahe tusikuwa na mbele wala nyuma, kwenye swala la kutoa utamu tunajituma sana, hatuna masihara kwenye sekta ya "wewe mpelekee moto"
yani hela huna, maisha huna na utamu ushindwee kuutoa!
Utamu bila pesaaa
 
acha

acha urongo! sisi hohe hahe tusikuwa na mbele wala nyuma, kwenye swala la kutoa utamu tunajituma sana, hatuna masihara kwenye sekta ya "wewe mpelekee moto"
yani hela huna, maisha huna na utamu ushindwee kuutoa!
Unajidanganya wewe..eti kujituma, mambo ya kufanyiana mazoezi vifuani nani anataka[emoji849][emoji848]

Pesa

Hela
Fedha
 
Shida mmezoea wadangaji wa mjini Daslam! Tembeeni muone jamani, ukiona mwanamke anatanguliza maslahi mbele jua hajakupenda tu wala hujamuingia moyoni!

Mtindo ni uleule kama demu uliekuwa unamzimia ukiwa form 2 halafu ukamtokea akakutosa kwa kishindo na dharau, huku na huku kuna mvuta bangi mmoja akawa anapelekewa tunda anajilia tani yake [emoji23][emoji23][emoji23] ukajiuliza maswali bila majibu!

Love is an emotional attachment bro atleast for the one who trully feels for you!
Alooo uko mbali na uhalisia asee[emoji848][emoji848]
 
Haipingwi ila neno lako sio sheria! Sababu wapo mademu wakali na wanaliwa na wauza mikaa tu ama mafundi kushona! Una justify vipi statement yako?
Haya mambo tunayasoma kwenye gazeti la shigongo, hayana uhalisia kabisa
 
uwe una hela uwe huna!.. ukiletewa papuchi ww kojolea tu! mambo ya mapenzi ni attachment za kijinga tu!
. love lasts, mwanamke akipata msela mwenye hela ataanza kutafuta attention n.k toka broke guys! akiwa na broke nigga atatafuta rich guy!..

hvi viumbe havieleweki kwahyo ukiletewa mbususu ww kamua tu!.. na usingaike kujionesha kidume hutapewa tuzo!
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Itoshe kusema namheshima sana huyo Mungu anilindie tu
Kwa sababu amenipenda wakati hata mwenyewe sijipendi kwa jinsi nlivyo yaani hata nauli ya mia sita nashindwa kumpa lakin anakuja hata kwa mguu
 
Back
Top Bottom