Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ulikuwa Over qualified.Ule haukuwa uoga bali ujasiri. Alikuwa akiniambia kabisa "Hilo kiongozi haliwezekani"
Kutoka Consultancy Personel hadi kwa Suma JKT watch women.
Aliona utamsumbua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa Over qualified.Ule haukuwa uoga bali ujasiri. Alikuwa akiniambia kabisa "Hilo kiongozi haliwezekani"
Ni kweli mkuu nchi iko hoi bin taaban mauwaji yamezidi.Nchi ipo kwenye hali mbaya ya kisiasa, vijana wa hovyo mpo hapa mnaanzisha thread za kidadapoa.
We bwana magari juzi tu hapa ulikua unalia humu umeachwa au sio wewe🤣🤣Ndio maana uwa sitongozi ovyo ovyo. Nalinda hii brand.
😂😂😂 mwaka 2024 wacha upite tu. Sina hamu nao. Nitaanza tena mapenzi 2025We bwana magari juzi tu hapa ulikua unalia humu umeachwa au sio wewe🤣🤣
Huo ukimnya na upole ndiyo wanawake hawautaki sasa jitahidi uachane nao mkuuKaka mimi sitongozi ovyo na sijawahi kua domo zege tangu nizaliwe ila nina haiba ya ukimya na upole
sureukikataliwa unatakiwa umshukuru mungu hujui amekuepusha na nn
unaweza lazimasha likakukuta jambo
Kwan hilo lina shida gani? Bank inataka mtu mzoefu na Mikopo.Tatizo ni pale wengine tukinywa kidogo,Yani mtaani hakuna demu hujatongoza
Chifu Unanifundisha mimi kuwaelewa wanawake??🤣Huo ukimnya na upole ndiyo wanawake hawautaki sasa jitahidi uachane nao mkuu
Changamoto zimenifunza sana😅😅😅😅 hii kauli nimecheka sana! Ndio sawa na kusema i’m older than life itself…
ukimuambia mdada; 'kwa sasa +1, USA' anachomoaje kwa mfanoUnajua kutongoza ni SANAAA.
Sisi watu tulio soma marketing tunajua strategies huwezi chomolewa.
Mimi sikumbuki Mara ya mwisho ni lini ku be rejected Ila sitongozi ovyo ovyo.
Ingia jukwaa la siasa utazikuta hizo nyuzi unazotakaNchi ipo kwenye hali mbaya ya kisiasa, vijana wa hovyo mpo hapa mnaanzisha thread za kidadapoa.
Siasa ufanye wewe ndo utafaidika ila kushabikia sikushauri maana hao unaowaamini na kuwashabikia Kuna time huwa wanalamba asaliNchi ipo kwenye hali mbaya ya kisiasa, vijana wa hovyo mpo hapa mnaanzisha thread za kidadapoa.
watalamu wapo ni mambo ya kiasiliEbu mkuu nipe hiyo dawa ninywe kabsa sio kuoga tu
Unapaswa kukoka dawa nduguSisi wengine hua tuna kataliwa kwa MSISITIZO .
Sometimes I can see una point. Kudate na mtu ambaye kashashika pesa kuna ulimbukeni anakua kashapunguzaMkuu kukataliwa ni suala la kawaida,
hata mchezaji kuna siku kwenye mechi ana under perfome
Ila kuna standard hata zikikutaa haikusumbui
Nimeweka standard sitongozi below 25, job seeker au asiye na gari, nadili na waha interellectual na mwanamke wa kwenda
Mwanangu mmi Ata sijui nimewakosea nini naweza ni katoa tu salamu nikaangaliwa juu mpaka chini "Kuna Ile unamsalimia demu barabarani anagoma kuitikia namwambia Ata salamu anakwambia kwa salamu " lazima" 🥶tena kwa sautiwatalamu wapo ni mambo ya kiasili