Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

Niliwahi kufanya consultancy service sehemu. Navaa kibosi suti kali, naletwa ofisini na gari mpaka beg nabebewa na dreva.
Pale chini kulikuwa na mlinzi wa SUMA yupo vizuri. Akanipa namba bila kikwazo, nikajua hapa napiga huyu kashoboka na suti.
Mpaka naondoka pale yule SUMA aligoma katakata kunipa dudu washa, mpaka nikabadilisha wing ya kuingilia ofisini kuficha noma
We ulipiga Suti Kali kama ya Wakili Kibatala lazima uogopwe.
 
Masela wa ivo hawakosi mtaani. hao ndo wale ukiingia kwenye mawindo yao wanakulia time ukiingia mtaani kama hawakujui anakusingizia ata kesi ya wizi wa boda anakujazia inzi ili tu utoweke kisa manzi. Hii ipo sana Dar

Kuna masela wengine wanakujaza upepo wanakwambia oya yule manzi anakukubali kinoma sijui unafeli wapi, ole wako ujichanganye 😀
😅😅hii vyuoni ipo sana
 
Mzee wakikubali , then mkaenda lodge au guest mka sex ukimaliza hau feel guilty.
UKishakojoa tu kuna kamoment kama ka Dakika Moja hadi tano huwa kanapita unajuta pesa zote ulizotumia ndio unakumbuka Mama alikuomba Pesa ya mbegu msimu huu wa Kilimo. Ndio unajivuta vuta kutuma elfu 50

Ngono haina faida. Hasara ni nyingi zaidi
 
Ila wazee kuna Raha fulani hivi kula "premium coochie" yaan unafeel umwamba sana.. ni heri ukae mwaka mzima bila mbususu kuliko kula vitu vya ajabu ajabu.. kuna watu ni Zoazoa hawataki kuelewa chochote...

Faida moja wapo ya kula Premium Coochie ni kumaintain consistency yaan pisi ambazo low quality huwez tetemeka nazo, mbili kama ni eneo la kazini una possibility kubwa ya kula hawa waliobakia kirahisi sana, maana unakuw na confidence. Kuna Pisi unamiliki kali inakupa confidence ile mbaya hata pisi mbovu mbovu zikikukataa unacheka tu kwa dharau..😂
 
Wewe una chombo Cha usafiri,sio gari cc Bill Lugano
Yes imewahi kunitokea juzi kati tu hapo kuna kademu kamoja cha veta kila nikitoka job nakutana nacho njiani kapo kwa mguu mi nipo ndani ya gari, nikakaingia kwa mbwembwe mi engineer, nna gari(nimeshawagonga mademu kibao kupitia ki ist changu) nikakapiga lunch ya maana nikakapa na lifti nikajua nimepata chakula ya kupooza njaa si kakanikazia bwana.

Baadae nikaja kugundua kamenikazia coz kananiona mi player plus tofauti za kidini.

Iliniuma japokuwa nilikuwa nataka nipige nipite zangu hivi.
 
Ughonile.,

Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikitupia ndoano tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti kimoja saafi unabaki umeduwaa.

Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko vizuri kiuchumi, handsome/mrembo, una kausafiri kako, unatokea familia yenye profile kubwa, msomi n.k na mbaya zaidi unakuta mhusika anakua anajua status yako in and out lakini anakuchomolea?

Vipi wewe ishawahi kukutokea? Ulijiskiaje?
Nchi ipo kwenye hali mbaya ya kisiasa, vijana wa hovyo mpo hapa mnaanzisha thread za kidadapoa.
 
Back
Top Bottom