Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

Huwa natongoza mwenye status kubwa zaidi yangu

Skendo huwa ni nyingi wanahisi natoka na pisi za maana kumbe sio zote zinazonikubalia uzuri wengi wenye status ya chini yangu wanashoboka nabonda
Iyo ya kutongoza mwenye status kubwa ni obvious kwa sisi wanaume

Shida ni hao wanaoshoboka mpaka mwenyewe unasema apa yees,, ila kuna wengine ukijaribu unasikia mimi nilikua "nakuchukulia tu kama rafiki"
 
Yes imewahi kunitokea juzi kati tu hapo kuna kademu kamoja cha veta kila nikitoka job nakutana nacho njiani kapo kwa mguu mi nipo ndani ya gari, nikakaingia kwa mbwembwe mi engineer, nna gari(nimeshawagonga mademu kibao kupitia ki ist changu) nikakapiga lunch ya maana nikakapa na lifti nikajua nimepata chakula ya kupooza njaa si kakanikazia bwana.

Baadae nikaja kugundua kamenikazia coz kananiona mi player plus tofauti za kidini.

Iliniuma japokuwa nilikuwa nataka nipige nipite zangu hivi.
 
Yes imewahi kunitokea juzi kati tu hapo kuna kademu kamoja cha veta kila nikitoka job nakutana nacho njiani kapo kwa mguu mi nipo ndani ya gari, nikakaingia kwa mbwembwe mi engineer, nna gari(nimeshawagonga mademu kibao kupitia ki ist changu) nikakapiga lunch ya maana nikakapa na lifti nikajua nimepata chakula ya kupooza njaa si kakanikazia bwana.

Baadae nikaja kugundua kamenikazia coz kananiona mi player plus tofauti za kidini.

Iliniuma japokuwa nilikuwa nataka nipige nipite zangu hivi.
Noma sana mkuu, inauma sana
 
Yes imewahi kunitokea juzi kati tu hapo kuna kademu kamoja cha veta kila nikitoka job nakutana nacho njiani kapo kwa mguu mi nipo ndani ya gari, nikakaingia kwa mbwembwe mi engineer, nna gari(nimeshawagonga mademu kibao kupitia ki ist changu) nikakapiga lunch ya maana nikakapa na lifti nikajua nimepata chakula ya kupooza njaa si kakanikazia bwana.

Baadae nikaja kugundua kamenikazia coz kananiona mi player plus tofauti za kidini.

Iliniuma japokuwa nilikuwa nataka nipige nipite zangu hivi.
Kama IST unafanyia uzinzi ..ukipata RANGE ROVER si utageuzaa Jehanamu ndogo
 
Back
Top Bottom