unatembea na mdada mnakubaliana kwenda date hata nauli hana!, maraSometimes I can see una point. Kudate na mtu ambaye kashashika pesa kuna ulimbukeni anakua kashapunguza
Siwezi kutoka sijui jua kali au kuna mvua
Hapana aiseeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unatembea na mdada mnakubaliana kwenda date hata nauli hana!, maraSometimes I can see una point. Kudate na mtu ambaye kashashika pesa kuna ulimbukeni anakua kashapunguza
Yamenikuta juzi kati hapa mtaani, nimebaki hooi. Nimebadili mpaka njia.Unakuta masela mtaani wanasema yule dada ni maharage ya mbeya, maji mara moja.!! sasa ole wako ujichanganye
Na Kuna ile unampa salamu tu anakuamkia fasta na kwa sauti kubwa, 'SHIKAMOO' huku akiipotezea habari uliyomuuliza wewe. Siku hz sisalimii mdada nisiyemjua, labda aanze yeye.Mwanangu mmi Ata sijui nimewakosea nini naweza ni katoa tu salamu nikaangaliwa juu mpaka chini "Kuna Ile unamsalimia demu barabarani anagoma kuitikia namwambia Ata salamu anakwambia kwa salamu " lazima" 🥶tena kwa sauti
Hii ni kujifariji hakuna cha kuepushwa wala nini kwahyo mtu akibeti akachaniwa timu zote hapo kakosa milion 50 hapo anakuwa kuepushwa na nini?ukikataliwa unatakiwa umshukuru mungu hujui amekuepusha na nn
unaweza lazimasha likakukuta jambo
Mkuu hili neno shikamoo linaniudhi sana huwa naambiwa wewe ni bamdogo wangu tafadhali usinfanyie hivoNa Kuna ile unampa salamu tu anakuamkia fasta na kwa sauti kubwa, 'SHIKAMOO' huku akiipotezea habari uliyomuuliza wewe. Siku hz sisalimii mdada nisiyemjua, labda aanze yeye.
Umeona ee?!!Mkuu hili neno shikamoo linaniudhi sana huwa naambiwa wewe ni bamdogo wangu tafadhali usinfanyie hivo
Kimbia kwa Babu wa loliondooMwanangu mmi Ata sijui nimewakosea nini naweza ni katoa tu salamu nikaangaliwa juu mpaka chini "Kuna Ile unamsalimia demu barabarani anagoma kuitikia namwambia Ata salamu anakwambia kwa salamu " lazima" 🥶tena kwa sauti
Sijawahi endelesa urafiki na mtu wa hivooumetongoza ukakataliwa lakini mkaendeleza urafiki hii inaitwaje!
Nambie ndugu yangu.ukimuambia mdada; 'kwa sasa +1, USA' anachomoaje kwa mfano
Wazee wa ENCHANTMENT.tatizo vijana amkogi dawa
😂😂😂Unakuta masela mtaani wanasema yule dada ni maharage ya mbeya, maji mara moja.!! sasa ole wako ujichanganye
Gundu hilo afsa.Mwanangu mmi Ata sijui nimewakosea nini naweza ni katoa tu salamu nikaangaliwa juu mpaka chini "Kuna Ile unamsalimia demu barabarani anagoma kuitikia namwambia Ata salamu anakwambia kwa salamu " lazima" 🥶tena kwa sauti
UnalitoajeGundu hilo afsa.
Ni kuoga maji ya chumvi tuUnalitoaje
Inategemea na mkoa uliopo kakaBinafsi kuna wanawake hasa hivi vitoto vya 2000 huwa sihangaiki navyo kuvitongoza ,huwa nadeal na wazee wenzangu tu wa huko 90s na 80s.hivi vitoto vya 2000 Bado vinaishi fantasy life ni rahisi kukuchomolea ukipiga sound.
Chai