Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

Ughonile.,

Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikitupia ndoano tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti kimoja saafi unabaki umeduwaa.

Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko vizuri kiuchumi, handsome/mrembo, una kausafiri kako, unatokea familia yenye profile kubwa, msomi n.k na mbaya zaidi unakuta mhusika anakua anajua status yako in and out lakini anakuchomolea?

Vipi wewe ishawahi kukutokea? Ulijiskiaje?
Tatizo unajiona sana ndiyo maana unakataliwa.
 
Status ina maana kama huyo unayemtongoza anajali hiyo status, kama hajali haina maana.

Unaweza kufikiri wewe ni msomi, una pesa, kumbe mwenzako anakuona mshamba unajivuna kuwa wewe ni msomi una pesa.

Wengine hatutongozi, tunaongoza.
Wanyakyusa na wahaya wanaona unapiga blaa blaa tu.
 
Kwan hilo lina shida gani? Bank inataka mtu mzoefu na Mikopo.
Wanawake wanapenda Alpha Man, mla demu ndio hupendwa.
Kwa hoja yako naomba Nikupe story fupi sana:

Juzi nipo lodge moja nzuri tu kulala chumba kinaanzia 50,000/- nikalipia nikapanda kupumzika, ila nikakumbuka mkoa ule nina lidada limoja lina shepu kama stand ya SGR ya JPM pale Dsm.

Nikaona nimstue aje nipige kamoja nioate usingizi, nikamchek akasema anaachia mtu kazi anakuja dk 20 anarudi.
Sasa ile anaanza kuja nikaona nishuke nimsubiria mapokezi asije hangaika kiutafuta chumba...
Nimefika mapokezi nikakuta pale kwenyr kochi la wagemi kuna kizuri kimeshika begi ni kama kinasubiria kuingia au kina log out. Nikakisalimu ile nakaa muda fupi mgeni wangu akawa ameingia, wakasalimiana mambo poaw poa...nikanyanyuka na mtu wangu aliekuja kwenda room.

Mgeni wangu akaondoka, ie nashuka nikatafute chakula huko nje, nakuta kile kidada kipo pale ila hakina begi tena. Nikakitania kumbe bado upo hapa kikasema nipo...sikuendelea na story nikakipa simu sehemu ya kuandika namba kikaandika nikasepa.

Pamoja na kwamba kimeona nimeingia na mwanamke nilipewa namba kirahis sana na kifuatacho ITV kinajulikana.

Hivyo wasichana wengi wanapenda wanaume wa hivyo
Mkuu bila shaka nahisi uliopoa malaya
 
Ughonile.,

Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikitupia ndoano tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti kimoja saafi unabaki umeduwaa.

Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko vizuri kiuchumi, handsome/mrembo, una kausafiri kako, unatokea familia yenye profile kubwa, msomi n.k na mbaya zaidi unakuta mhusika anakua anajua status yako in and out lakini anakuchomolea?

Vipi wewe ishawahi kukutokea? Ulijiskiaje?
Kukataliwa ni kipimo cha utu, hasa mwanamme kukataliwa na binti.

Binafsi nawapenda sana wanawake wagumu, sipendi wanawake warahisi mie.

Nikitongoza sehemu nikataliwe kwa 'makavu live', elewa huyo bidada anantaka, sazingine bila yeye kujua.

Nitatumia silaha zangu zote za msaada kukivunja hiko kikwazo, sijawahi kukataliwa na kubweteka.

Anayenikataa, ajipange kunikataa kistaarabu, vinginevyo anakuwa kajiingiza kwenye vita vya majimaji na warugaruga.

Anibembeleze na kunielimisha kwa upole kuwa yeye ni mke wa mtu ama mchumba wa mtu, nitamuelewa kiurahisi na nitamwacha aende zake kweli.

Lakini wale wa: 'toka hapa', 'lione', 'nikome' nk nk, hao sasa ndiyo wa kariba yangu, huyageuza mapenzi na kuwa ni ligi ya mashindano.

Na mara nyingi kama si zote huwaga ni mshindi wa kuondoka na kombe.

Ninazijua mbinu zote haramu na halali zilizopo duniani, kumpata huwa ndiyo tamati ya furaha yangu.
 
Ughonile.,

Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikitupia ndoano tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti kimoja saafi unabaki umeduwaa.

Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko vizuri kiuchumi, handsome/mrembo, una kausafiri kako, unatokea familia yenye profile kubwa, msomi n.k na mbaya zaidi unakuta mhusika anakua anajua status yako in and out lakini anakuchomolea?

Vipi wewe ishawahi kukutokea? Ulijiskiaje?
hua nahisi kwamba ana kasoro kubwa ndani yake,
ambayo sistahili kuijua wala kuiona ndani yake, au ni mgonjwa na hivyo nia aibu kuniambukiza na mimi anachougua yeye mathalani ni cha fedheha sana :pulpTRAVOLTA:
 
Yani kama mimi najuta huku,nimekataliwa na kabinti la hovyooo. Mbaya zaidi ni majirani na nasikia vile kanakula dushe na vijivulana dredi.Nimebaki kimya nakaangalia tu.Mbaya zaidi mimi ndo msimamizi wa nyumba anazokaa.
Ila nahisi kanajuta pia.,aibu sn kwangu
 
Yani kama mimi najuta huku,nimekataliwa na kabinti la hovyooo. Mbaya zaidi ni majirani na nasikia vile kanakula dushe na vijivulana dredi.Nimebaki kimya nakaangalia tu.Mbaya zaidi mimi ndo msimamizi wa nyumba anazokaa.
Ila nahisi kanajuta pia.,aibu sn kwangu
Nani kakudanganya kanajuta?

Kula chuma iko
 
Back
Top Bottom