monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀😀😀😂😂 huyo mdudu amebarikiwa kuliko wanyama wote, ila huyo mwamba aliwakomesha hakika huwez kusahau
Kwanini ujipangie ni mtoko wa maongezi angali huna hata mia mbovu..?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa mbunye bar jamani???? Ilikua mtoko wa kula tu na maongezi
Kutoka kwenye kitimoto, tukaja kiepe, wakakizoea sasa hivi sio material things ni ahadi ya iphone tu.Bado wanaliwa ila upepo umehamia kwenye ahadi za iphone
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Uliishia kusikia harufu tuAfu kilichoniuma sana nilikua natembea kwa mawazo ni ile kitimoto yani nimeagiza halafu hata sikuitia machoni.....Mungu atanilipa 🤣🤣🤣🤣
Mademu wa mwanza waroho sana ,mi nimewagonga sana kupitia misosi
Ndio tulipo kuna pisi moja ya chuo inachotaka ni iphone, kila nikitaka ananipa akijua mwamba ntamnunulia iphone😂Kutoka kwenye kitimoto, tukaja kiepe, wakakizoea sasa hivi sio material things ni ahadi ya iphone tu.
Kujiwekea uzio Hahaha...umemaliza mkuuMnaleta ubishoo mbele ya baharia 🤣🤣🤣,,, huyo muhuni kanifurahisha sana tunahitaji wajuba kama hao wanaume tumepungua sana sikuhizi.
We unajua kabisa ukiitwa mtoko lengo ni kuchanyatwa unakuja na dada yako kujiwekea uzio halafu bado kushikwa mbunye na nido hutaki. Hamjui wajibu wenu poteeni harakaaa 🤣🤣🤣🤣
Ila kwa kijana wa kisasa angewalisha, kuwakodia uber na posho ya supu kesho. Hapo hata kiss hajaambulia.Kujiwekea uzio Hahaha...umemaliza mkuu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kumbe muhuni unainjoy tu mbunyeNdio tulipo kuna pisi moja ya chuo inachotaka ni iphone, kila nikitaka ananipa akijua mwamba ntamnunulia iphone😂
Hii kweli sema wanawake wanapenda sana mitoko ya kula hasa kwa wanaotumia kitimoto na kukuMademu wa mwanza waroho sana ,mi nimewagonga sana kupitia misosi
Ukiona wamekuja squad ujue ni kikao cha kutiana umaskini tu. Huambulii kitu labda udhamirie kumzimisha mmoja umteke 😀😀😀Shida unaalikwa mmoja unaleta kikosi cha kula na kunywa hasa ukijua kuwa huna mpango na aliyekualika.
Wacha nitambae na chaki tuKutoka kwenye kitimoto, tukaja kiepe, wakakizoea sasa hivi sio material things ni ahadi ya iphone tu.
Ukiona hivyo mwamba alishachoka dizaini amekutana na sampuli hizo kadhaa akaona isiwe tabu..Ila kwa kijana wa kisasa angewalisha, kuwakodia uber na posho ya supu kesho. Hapo hata kiss hajaambulia.
Basi chukua lesson hapa dia wangu, huu mtoko kwakweli kuna siku nakumbuka nacheka jamani ile moment ya kufukuzwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu ujue wanakua wameshaset plan kabisa nini wanywe na kula, baada ya hapo wale kona. Dawa achia wao bili waangaike nayo.Ukiona wamekuja squad ujue ni kikao cha kutiana umaskini tu. Huambulii kitu labda udhamirie kumzimisha mmoja umteke 😀😀😀
Kwanini ujipangie ni mtoko wa maongezi angali huna hata mia mbovu..?
Wanadada wanaoweza kujilipia bills ndio wenye uwezo wa kua na maamuzi uwe mtoko wa aina gani.
Unakua na mwanamke hawezi jilipia hata nauli? #shame.
Ndege wafananao.