Ulishawahi kukimbiwa na kuachiwa bili mezani? Ilikuaje?

Ulishawahi kukimbiwa na kuachiwa bili mezani? Ilikuaje?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa mbunye bar jamani???? Ilikua mtoko wa kula tu na maongezi
Kwanini ujipangie ni mtoko wa maongezi angali huna hata mia mbovu..?
Wanadada wanaoweza kujilipia bills ndio wenye uwezo wa kua na maamuzi uwe mtoko wa aina gani.

Unakua na mwanamke hawezi jilipia hata nauli? #shame.

Ndege wafananao.
 
Mnaleta ubishoo mbele ya baharia 🤣🤣🤣,,, huyo muhuni kanifurahisha sana tunahitaji wajuba kama hao wanaume tumepungua sana sikuhizi.

We unajua kabisa ukiitwa mtoko lengo ni kuchanyatwa unakuja na dada yako kujiwekea uzio halafu bado kushikwa mbunye na nido hutaki. Hamjui wajibu wenu poteeni harakaaa 🤣🤣🤣🤣
Kujiwekea uzio Hahaha...umemaliza mkuu
 
Basi chukua lesson hapa dia wangu, huu mtoko kwakweli kuna siku nakumbuka nacheka jamani ile moment ya kufukuzwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tushawah kutolewa out na rafiki zangu watatu pale kingdom hotel
aisee sijawah ona wababa kama wale tulikunywa ,tulikula ,anaesikia njaa anaagiza tu chakula tena hao wababa wanaita muhudumu walete chakula kisikosane mezani na vinywaji mi mpaka nilichoka nikaaga kurudi home walikaa wiki mi mpaka nikawa nakunywa maji tu halaf kumbe ukinywa pombe kali za bei hata hangover hakuna nyie
Ila mi nilikuwa naonja tu kidogo sikuwa mzoefu wa pombe kali Henessy kuna watu sio wabahili kama pesa ipo
 
Kwanini ujipangie ni mtoko wa maongezi angali huna hata mia mbovu..?
Wanadada wanaoweza kujilipia bills ndio wenye uwezo wa kua na maamuzi uwe mtoko wa aina gani.

Unakua na mwanamke hawezi jilipia hata nauli? #shame.

Ndege wafananao.

Hii sio ya jana wala ni miaka mingi nikiwa mwanafunzi nadhani nlikua form 4 hivi, kwahiyo kutoka bila hela kawaida tu....leo nshakua mtu mzima sana hizo ni zilipendwa
 
Back
Top Bottom