Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Sebuleni nimemuwekea matoi hapo anacheza nayo.. Pipi kama zote, biskuti...Dah alikua anajifanya mama njelekela 🤣 ulikula mzigo mtoto akiwa wapi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sebuleni nimemuwekea matoi hapo anacheza nayo.. Pipi kama zote, biskuti...Dah alikua anajifanya mama njelekela 🤣 ulikula mzigo mtoto akiwa wapi sasa
Ehuuuu jamani nami nshapigwa matukio, baba chanja siku moja tupo band sijui tulizinguana nini pale mezani akaamka akaniacha....weeeh nilitoka nduki namkimbilia na nimevaa skonkiko kama kawaida jamani kuna mambo yanachekesha🤣🤣🤣 zile mbio zote nilikuwa tu sina hela 😂Kina dada hata ukitoka out na baba chanja beba hela ya akiba, huwezi jua lolote linaweza kutokea.
Ni aibu mtu unaitwa mtoko halafu unategemea akulipie mpaka nauli uliyojia kweli?? Ndio maana wanatuona wadangaji na wapiga vizinga, tunajishusha wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣 Hahahahahah shemeji ulitishaSebuleni nimemuwekea matoi hapo anacheza nayo.. Pipi kama zote, biskuti...
Uachage ikorofi wako😅Ehuuuu jamani nami nshapigwa matukio, baba chanja siku moja tupo band sijui tulizinguana nini pale mezani akaamka akaniacha....weeeh nilitoka nduki namkimbilia na nimevaa skonkiko kama kawaida jamani kuna mambo yanachekesha🤣🤣🤣 zile mbio zote nikiwa tu na hela 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kama fala...bwanaweeeehhh eti akamind akaanza kunifokea na hakuishia hapo akatufukuza bila hata nauli😂😂 vinywaji hatujamaliza wala kitimoto haijafika....ana dhambi yule fala 😁
Sasa wa kunijia na dadaake sijui inakuwaje hapo..!! Ni kukimbia bili tu, hamna namna🤣🤣🤣🤣 Hahahahahah shemeji ulitisha
KUna jamaa yangu, yeye kila anapomwambia mkewe watoke, mke hata kama ana hela, ataingia ndani, anatengana nazo halafu anarudi waondokeKina dada hata ukitoka out na baba chanja beba hela ya akiba, huwezi jua lolote linaweza kutokea.
Ni aibu mtu unaitwa mtoko halafu unategemea akulipie mpaka nauli uliyojia kweli?? Ndio maana wanatuona wadangaji na wapiga vizinga, tunajishusha wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bibi na bwana boda au bibi na bwana mfukuzaji?Kuna watu hawana huruma, kuna pisi moja nayo ilifukuzwa kama mbwa kwa mwamba kisa pisi ilikataa kutoa kwa mpalange. Ikawa inalia inahitaji msaada hata nauli tu, mda huo mvua inamnyeshea vibaya sana. Boda akapita nae kumsaidia. Leo hii ni bibi na bwana
Na ilivyo tamu sasa..!!!😂😂😂mbaya zaidi kitimoto hukula, daah inuma sana.
Mama anapelekewa moto 🤣🤣Akiwa shuhuda🤣🤣🤣
Kuna siku mtapigwa 3someUsalama, nlikua mdogo, mtoko wa mjibaba simjui, sina simu na utoto pia.... halafu mi na sista angu tulizoea hivo yani mitoko lazma twende wote 😁
Muhuni anazijua namba chafu 😀😀😀 kaona wasimtanie kabisaaaaUkiona hivyo mwamba alishachoka dizaini amekutana na sampuli hizo kadhaa akaona isiwe tabu..
Hahahahah we msenge muuaji dah. Dogo ulimfungia nje niniMlikuwa mnazingua..!! Kuna demu alikuwa ananijia na mtoto..!! Siku nikasema liwalo na liwe..!! Nikala mzigo
Fresh tuKuna siku mtapigwa 3some
Unyama sana😅Mama anapelekewa moto 🤣🤣
Hivi hakufahamu kuwa umepinda?🤣Fresh tu
Dogo kaachwa sebuleni anachezea midoli na kula pipi na biskuti. Sisi tukazama chumbaniMuhuni anazijua namba chafu 😀😀😀 kaona wasimtanie kabisaaaa
Hahahahah we msenge muuaji dah. Dogo ulimfungia nje nini
Oya kimeumana huku 😀😀😀Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini
UKIONA MIFUKO IMELEPWETA USITOE OFA! UJIPENDEKEZE MWENYEWE NA MISIFA YAKO HALAFU UJE JF UTUANZISHIE MADA! 🤣🤣🤣.Kuna mtoa ofa za misifa mwingine chupuchupu aibike Mfukoni ana senti halafu anatamba kutoa ofa na mikauli mizitooo "AGIZENI CHOCHOTE" Tumeagiza potion za seafood 2 na maji lita 1.5 tu...www.jamiiforums.com