mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Ahaaa kuna demu mshenzi aliagiza samaki wa 27000 na malta mbili mi huku napiga pepsi,nilimmezea viagra hawezi nisahauUtukome nyau 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa kuna demu mshenzi aliagiza samaki wa 27000 na malta mbili mi huku napiga pepsi,nilimmezea viagra hawezi nisahauUtukome nyau 😁
Hakuna namna mpaka aje ashtuke atakuwa kapoteza sana, tatzo kalikua kananiletea ulokole mwingi siku moja nikamroga na kavideo ka slomosheni(hawa ndugu zetu wanalika kwa vitu vya kawaida sana).🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kumbe muhuni unainjoy tu mbunye
🤣🤣🤣Mwana dada hakikisha unatoka na pesa au card ya bank katika matembezi yako muhimu.
Bora ni sahau simu lakin ni card ya bank wala pesa Kwa mkono.veri simpo
Hilo jina sio geni ipo uelekeo upi nikumbusheNimefurahi kusikia umewahi kaa mtaa wa rufiji, unapajua MALIKUSEMA?
Alafu pia okana ya bwiru na rufiji ni karibu, si zaidi ya 3 km.Mnaleta ubishoo mbele ya baharia 🤣🤣🤣,,, huyo muhuni kanifurahisha sana tunahitaji wajuba kama hao wanaume tumepungua sana sikuhizi.
We unajua kabisa ukiitwa mtoko lengo ni kuchanyatwa unakuja na dada yako kujiwekea uzio halafu bado kushikwa mbunye na nido hutaki. Hamjui wajibu wenu poteeni harakaaa 🤣🤣🤣🤣
Pesa ya mwamba lazima uitumikie🤣🤣🤣Mnaleta ubishoo mbele ya baharia 🤣🤣🤣,,, huyo muhuni kanifurahisha sana tunahitaji wajuba kama hao wanaume tumepungua sana sikuhizi.
We unajua kabisa ukiitwa mtoko lengo ni kuchanyatwa unakuja na dada yako kujiwekea uzio halafu bado kushikwa mbunye na nido hutaki. Hamjui wajibu wenu poteeni harakaaa 🤣🤣🤣🤣
Pole shemela..!!! Skonkonko kubebwa mkoni si mchezoMwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii?
Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari na kuniita mahali jioni, nikajisema si kula tu??? Naenda mie...mida imefika nikachukua simu ya sister nikampigia na kumtaarifu nakuja ila nakuja na sister angu akasema hamna shida njooni.
Haooo tukatinga na viatu virefu jamani halafu mfukoni hatuna hata sh 100, tax tumechukua akaenda kulipa, tukaagiza kitimoto kg 2 na vinywaji, pale mezani yupo na wenzie wanne wakati tunawait msosi uje yule dingi akaanza kunishika shika basi nikawa namind namwambia nipo na sista angu usinishike tuongee tu, akafanya hivo kama mara tatu mi nakataa....bwanaweeeehhh eti akamind akaanza kunifokea na hakuishia hapo akatufukuza bila hata nauli😂😂 vinywaji hatujamaliza wala kitimoto haijafika....ana dhambi yule fala 😁
Hapo mida kama ya saa mbili hivi tukaanza kutembea kwa miguu kutokea kona ya Bwiru hadi mitaa ya rufiji nyie! nyie! tumeomba lift kwenye daladala wapiii tumenyimwa tukavua na viatu tukakanyaga peku moja mbili hadi home make miguu ishachoka ...huwa nacheka nikikumbuka huo mtoko.
Nimemkumbuka hili tukio baada ya kisa kilichotokea juzi, nilikua mitaa flani naendelea kuukaribisha mwaka, meza ya pembeni akaja demu mkare akaagiza wine akaanza kuipiga ile kunywa kulamba mwendo wa kumsubiria sponsor aje, baada ya muda jamaa akatimba, jamaa mapepe hata haendani na yule demu kwakweli japo hayanihusu 😁
Dem kuona mlipa bill kaja akaongeza na spidi na akachangamka, mara ikaagizwa chupa ya pili, jamaa anaagiza Heineken zake pale anapiga na watu offer....imefika saa nne akatoka kama anaenda kuongea na simu daaahhh mtoto kaachiwa bill pale ilibidi aache simu
Epuka aibu, beba pesa yako, happy new year familia
Usalama, nlikua mdogo, mtoko wa mjibaba simjui, sina simu na utoto pia.... halafu mi na sista angu tulizoea hivo yani mitoko lazma twende wote 😁Mtoko wako kwa nini uende na sister hapo ndipo ulipo haribu
Vyema sana,Hii sio ya jana wala ni miaka mingi nikiwa mwanafunzi nadhani nlikua form 4 hivi, kwahiyo kutoka bila hela kawaida tu....leo nshakua mtu mzima sana hizo ni zilipendwa
Ahsante shemela nshapoa 🤣, skonkonko zilikua nzito ghaflaPole shemela..!!! Skonkonko kubebwa mkoni si mchezo
Mlikuwa mnazingua..!! Kuna demu alikuwa ananijia na mtoto..!! Siku nikasema liwalo na liwe..!! Nikala mzigoUsalama, nlikua mdogo, mtoko wa mjibaba simjui, sina simu na utoto pia.... halafu mi na sista angu tulizoea hivo yani mitoko lazma twende wote 😁
Mwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii?
Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari na kuniita mahali jioni, nikajisema si kula tu??? Naenda mie...mida imefika nikachukua simu ya sister nikampigia na kumtaarifu nakuja ila nakuja na sister angu akasema hamna shida njooni.
Haooo tukatinga na viatu virefu jamani halafu mfukoni hatuna hata sh 100, tax tumechukua akaenda kulipa, tukaagiza kitimoto kg 2 na vinywaji, pale mezani yupo na wenzie wanne wakati tunawait msosi uje yule dingi akaanza kunishika shika basi nikawa namind namwambia nipo na sista angu usinishike tuongee tu, akafanya hivo kama mara tatu mi nakataa....bwanaweeeehhh eti akamind akaanza kunifokea na hakuishia hapo akatufukuza bila hata nauli😂😂 vinywaji hatujamaliza wala kitimoto haijafika....ana dhambi yule fala 😁
Hapo mida kama ya saa mbili hivi tukaanza kutembea kwa miguu kutokea kona ya Bwiru hadi mitaa ya rufiji nyie! nyie! tumeomba lift kwenye daladala wapiii tumenyimwa tukavua na viatu tukakanyaga peku moja mbili hadi home make miguu ishachoka ...huwa nacheka nikikumbuka huo mtoko.
Nimemkumbuka hili tukio baada ya kisa kilichotokea juzi, nilikua mitaa flani naendelea kuukaribisha mwaka, meza ya pembeni akaja demu mkare akaagiza wine akaanza kuipiga ile kunywa kulamba mwendo wa kumsubiria sponsor aje, baada ya muda jamaa akatimba, jamaa mapepe hata haendani na yule demu kwakweli japo hayanihusu 😁
Dem kuona mlipa bill kaja akaongeza na spidi na akachangamka, mara ikaagizwa chupa ya pili, jamaa anaagiza Heineken zake pale anapiga na watu offer....imefika saa nne akatoka kama anaenda kuongea na simu daaahhh mtoto kaachiwa bill pale ilibidi aache simu
Epuka aibu, beba pesa yako, happy new year familia
Vipi umesahau nilivyokuachia pale wanaita kwa Wazungu?🤣🤣Unatakiwa ukifika unausoma mchezo unaagiza unavyoweza kulipia kuepuka fedheha
Kuna uzi umetolewa huko wapewa offa muwe mnajitathimini
Glenn hebu niache kidogo 🤣🤣A
Again😂😂😂
Toa povu lote upone rafiki angu🤣Glenn hebu niache kidogo 🤣🤣
Dah alikua anajifanya mama njelekela 🤣 ulikula mzigo mtoto akiwa wapi sasaMlikuwa mnazingua..!! Kuna demu alikuwa ananijia na mtoto..!! Siku nikasema liwalo na liwe..!! Nikala mzigo
Glenn hebu niache kidogo 🤣🤣
Akiwa shuhuda🤣🤣🤣Dah alikua anajifanya mama njelekela 🤣 ulikula mzigo mtoto akiwa wapi sasa