Ulishawahi kukimbiwa na kuachiwa bili mezani? Ilikuaje?

[emoji23][emoji23] ukaubeba, huyo ndio shemeji yetu hadi sasa au
Hapana mkuu tuliachana huko huko chuo. Sema hii tabia aliizoea baadae nikaja kujua hela huwa anaficha kwenye vifuko vidogo vya wallet kiasi akifungua kweli unajua hana au ana kidogo.

Ila nauli hizi 400 alikuwa yupo makini sana kuzilipa mzinga anakupiga wa msosi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Aisee umenichekesha kinoma.
Pole sana aisee.
Tatizo huwa mnajifanya kama hamjui tumewaitia nini..!?
Vyote kwa vyote tukiwaita out huwa tunahitaji na vinginevyo.
Weweni mshamba na huna akili kama mwanaume wapuuzi kama nyie ndio kuishigi na mtu ni matumaini.

Unamwita mtu ili alipie mlo wewe sio gentle men wewe nikakitu kama kamdudu tu.

Ndio maana wakaka mahandsome wanaoa maana hawana hizo hata kma anataka penzi anajua kukuambia kiustarabu sio eti Kisa umetoa mtu out ndio ukamlee shenzi zenu .
 
alikua bado mdogo kuhandle gharama za outings, vyuoni wanaume wengi wanajitutumuaga lakini baada hapo ni maumivu makali hasa kwa wale wasiokuwa na boom.
 
Yaani hii tabia ipo sana hasa kwa wanawake wasiojitambua. Yaani mtu kaletwa outing KFC busy na picha huku anakula. Mambo ya wasichana ambao hawajakua. Unapoenda outing ni busara kuagiza ambacho unajua hata mwenzako ataweza ku afford. Hawajua kama first ompression matters alot.
 
Aiseee Hiyo ndo Dawa kwa wasiojielewa
 
Wewe kama Huna hela usidate huwezi mpangia mtu maisha bhana
 
Mie sijawahi maana siye ndio tulikuwa naitwa viraka inaamanisha tunapiga misosi na kwendra tunakwendra So kuachwa na bolo mezani hakunaga siye tunakilaga fasta.
Yaani unamtext umeshaagiza yes Nini ulisemaje kwani nope muhudumu wa bara anasema ni kweli napiga msosi nasepa .

Sio tupo wachache tupo wawili zaidi na hatuachani nabado nauli tunaomba chuo Bajan nilienjoy nastori siwezi wapa za mapito mnakera humu miji vichaa ya huku utasikia maraya sijui Nini mashenzi tu
 
Wewe kama Huna hela usidate huwezi mpangia mtu maisha bhana
Nani kakuambia sina hela? Nawashauri waagize ambacho mwanaume anaweza ku afford ili kuepuka kukimbiwa. Mimi naweza ku afford hata outing ya 1m na zaidi.
 
Yani tulienda na njaa tukaondoka na njaa 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…