Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #401
Ni kucheka tu make hatukuishia hapo tuliendelea tu na ujinga wetu....ya mwisho tulinyooshwa ndio tukakomaDADA YAKO ALISEMAJE MLIPOFIKA NYUMBANI AU KESHO YAKE😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kucheka tu make hatukuishia hapo tuliendelea tu na ujinga wetu....ya mwisho tulinyooshwa ndio tukakomaDADA YAKO ALISEMAJE MLIPOFIKA NYUMBANI AU KESHO YAKE😊
Hiyo ya pili ilimhusu dada u bado uliendelea na ilikuwaje?Ni kucheka tu make hatukuishia hapo tuliendelea tu na ujinga wetu....ya mwisho tulinyooshwa ndio tukakoma
Tungesugua masufuria ya kitimoto usiku kucha 😔Tena washukuru walifukuzwa vinginevyo wangeachiwa hili ndo wangejua kuwa sasa wanaingia mkoa wa Mara
Wote mimi na yeye 😁Hiyo ya pili ilimhusu dada u bado uliendelea na ilikuwaje?
Na mngechezea virungu vya motoTungesugua masufuria ya kitimoto usiku kucha 😔
Malaika alikua upande wetu tukaishia kufukuzwa kwa amaniNa mngechezea virungu vya moto
Madam mm ni mtu mwema sana.. we njoo tu istoshe nipo hapa Why not if not sio mbali na home kwenu😅😅 nauli jero tuMmh sio nawe utanifukuzia mbali huko inbox nyie sio watu wazuri 😁
Eeh, alipe faini ya matumizi mabaya ya kinywa 🤣🤣🤣 bei elekezi inaeleweka Selasini tu mezani.🤣🤣 🤣🤣🤣🤣🤣 Amarula la alf sarasini😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa had machoziii.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwakweli ile siku huwa siisahau si angetupa hata buku jamani tupande daladala tulifukuzwa kama mbwa [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaah.Mtu umemualika anakuja na dada yake! Eboo kwani nimeita kikao cha familia?
Mwamba kanyoosha.Hata mimi nimemkubali mwamba. Wanapata wapi ujasiri wa kubeba kipima-joto na wanja. Unakunywa unachoweza kulipa hata likitokea lakutokea kunakuwa hata hakuna tukio.
Mwamba kanyoosha.
Sasa mtoto wa kiume unaenda dada ako kaitwaa kufanya nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasaivi nimekumbuka tukio kama hili lako
Siku hiyo nilikuwa natoka zangu uko kuzulula kufika home nimemkuta dada yangu kaulamba kweli nikamwambia unatoka akasema ndio kwaza vaa tutoke wote hili mzee asije leta noma nikavaa chap
Tumetoka getini akawa anaongea na jamaa akasema ametuma boda kufika pale boda akaaza kisilani sibebi wawili dada angu mtata akasema basi acha
Tukafosi kupanda hivyo hivyo kufika pale eneo la tukia jamaa akapiga simu upo na nan? Dada akajibu na mdogo wangu yul jamaa akakata simu dad akapiga tena akupokea nikamwambia huyo jamaa mshamba embu achana naee tuludi home tukaludi home mda uho uho dada angu mwingine alitucheka sana
[emoji86][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mtoto wa kiume unaenda dada ako kaitwaa kufanya nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ye ndio kanitisha mimi😅😅😅Duh mbona unanitisha mkuu mdugu yangu....
Kwahiyo naweza kuwa natongoza janaume lenzangu bila kujua? Ee Mola niokoeYe ndio kanitisha mimi😅😅😅