mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Hapana coz nilikuwa nae na simu yangu alikuwa akishika mwenyewe.Ulimrudishia.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana coz nilikuwa nae na simu yangu alikuwa akishika mwenyewe.Ulimrudishia.?
Nikaona ticha analaani kwamba tutakufa masikini nikaona isiwe tabu.Aiseee nimecheka sana hapo Kwa huyo mwalimu aliyekuambia mtakufa maskini kwasababu ya 20000
Ndiyo,Okay kumbe alikuwa mtu wako wa karibu.
Hahahaa! Njaa mbaya sana inatuondolea utu.Huyo teacher anaonekana alikuwa na njaa sana.
Jamaa zake Mpwayungu Village
20,000 itawafanya wafe maskini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aiseee nimecheka sana hapo Kwa huyo mwalimu aliyekuambia mtakufa maskini kwasababu ya 20000
Yaaani!!!!Duh! Bahati ilikuwa upande wenu sikuhiyo.
Niliienda kwa wakala nikampa namba na jina ye analeta masihara .Akatuma kwa mtu mwingine.Yule dogo hana hamu .Sidhani kama atakuja kutuma hela kimakosa tena.Ilikuwaje hii ndugu..?
YessSafi sana, haukuwa na mapepe.
Mmmhmimi ndio nilikutumia mrembo. usijali wala nini
Duuh polee sana aseeeh.Jioni ya leo nimeenda kutuma pesa kwa wakala,mama kanituma
195,000,,,,,imeenda siko,sasa narudi nimwambie mimi tayari,. Kupiga kwa mpokeaji anasema hajaona,
Kurudi kwa wakala jioni hivi, kupiga kwa namba aliyotuma pesa anapokea mbaba anasema ampigie baadae yupo kwenye makelele,
Hapa sielewi kwanza,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ka elfu ishirini kangu. Nilikuwa namtumia dogo nikakosea nikamtumia mbaba gani sijui!!! Nikampigia namwambia anirudishie akanijibu "asante sana mwanangu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]