Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

wanzanzibar wakristo wapo,ninaowafahamu ni wakristo wa dhehebu la anglican.

mojawapo ni mtangazaji maarufu nchini tz Charles Hilary ambaye kwa sasa anatangazia azam tv na aliyewahai kuwa chief justice augustino ramadan,wengine ninaowafahamu sio watu maarufu.

siku utakapo fanya matembezi visiwani zanzibar,jumapili moja nenda pale anglican cathedral,utaona baadhi ya wanzanzibar wakristo na familia zao wakiwa katika ibada.
d60cb28fd7022441fb024fb0afaf93ff.jpg

hata wafanyakazi waswahili wanaofanya kazi pale,ni wanzanzibar wakristo.wanazungumza kiswahili pure cha kinzanzibar,lakini ni wakristo.
Wahamiaji kutoka bara, japo hata wazanzibar wachache wapo.
 
Saudia wanaosalia kwenye makanisa yaliyojificha ni waphilipino.
usiwe mbishi sasa wapo waarabu kabisa wakristo saudia au kama hujapekua google au ingia you tube tafuta ujionee au ukitaka wanaobatizwa utawaona wengi tu
 
sio wahamiaji ni wazawa kabisa unafikiri makanisa hayo yamejengwa na wabara?? hao ni wazawa walioachiwa na wamisionari na ni wakristo wazawa sio wahamiaji ukitaka kawaulize
Ngumu kumesa, Wakristo wanavyopenda elimu hivyo serikali nzima ingekuwa na waislam 100%?
 
usiwe mbishi sasa wapo waarabu kabisa wakristo saudia au kama hujapekua google au ingia you tube tafuta ujionee au ukitaka wanaobatizwa utawaona wengi tu
Mimi binafsi nimeishi saudia,hakuna wasaudi asilia ambao ni wakristo labda walioasiliwa,na labda mafuta yaje kuisha,lakini huwezi kutegemea gugo.
 
Tena wachina waislamu ni wengi kuliko waislamu wote wa Tanzania
duuu si kweli wapo wachache sana na wanakaa kakijiji kadogo sana tena ndio wachina maskini sana hao pekua ujionee mijini wengi ni mabudha na wakristo wapo wengi sana china
 
Mimi binafsi nimeishi saudia,hakuna wasaudi asilia ambao ni wakristo labda walioasiliwa,na labda mafuta yaje kuisha,lakini huwezi kutegemea gugo.
we jamaa unaonekana una asili ya ubishi sitaki kubishana nawewe ingia you tube kama huamini gog
 
we jamaa unaonekana una asili ya ubishi sitaki kubishana nawewe ingia you tube kama huamini gog
Hili jukwaa bhana lete uthibitisho hapa jukwaani ili wakuu na wadau wauone,sio porojo! Eti niende gugo au you tube what a lazy thinker teh..teh.
 
Basi na ushawahi sikia mmasai anaongea sauti nene? Aka bass
 
Wamasai waislaam wapo japo wachache. .....wengi ni MAKAFIRI.
ina maana hao waarbu wanaiga mbinu ya wakiristo ambao miaka yote hutumia mbinu zaidi kuwaritadisha watu kuliko kutumia biblia
wapo. pale Monduli mwaka juzi waarabu waliingia wakamwaga pesa (hongo/chambo/kivutio) nyingi saaana kusilimisha na waliwapata wengi kiasi
 
sio wahamiaji ni wazawa kabisa unafikiri makanisa hayo yamejengwa na wabara?? hao ni wazawa walioachiwa na wamisionari na ni wakristo wazawa sio wahamiaji ukitaka kawaulize
Mkanisa Zanzibar yalijengwa na Missionary, hakuna mzawa aliejenga Kanisa
 
Back
Top Bottom