Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

Roho inakuuma tu. Huna zaidi.

Dadangu wala sijaumia roho, nasiwezi kuumia roho, nimeishi Dar maisha yote, mwezi kama huu (Ramadan) kila jioni majirani wanapitisha masufururia ya uji wa pilipili manga na futari ya mihogo na Maboga kwa majirani wote Wakristo na Wakristo kila ikifika sikukuu zao wanawaita Waislam wachinje kwa sababu nao watapewa/Watakula hicho chakula

Sio ajabu kwa wamasai kuwa Waislam, hakuna Kabila lililo la Waislam au Wakristo pekee

Shida yako kila ukiona mtu kavaa hayo mashuka basi mija kwa moja unasema ni Mmasai, Wamangati, Wasukuma (Wanyantuzu) pia wanavaa sana hayo maguo
 
Binafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?

Karibuni wakuu

Hahaaa... kiujumla wamasai si watu wa kufuata dini, wengi si wakristo wala waisilamu, isipokuwa siku hizi wapo wanapingia uisilamu na ukristo pia...... hivyo wapo wamasai wengi tu wanaoswali, kufunga na kusoma Quran vizuri kabisa.

Kwenye ubalozi wa UAE kuna jamaa Masai na anaongea kiarabu hatari.
 
Ni wakutafuta kwa tochi kama ilivyo Wanzibar kuwa wakristo.
wanzanzibar wakristo wapo,ninaowafahamu ni wakristo wa dhehebu la anglican.

mojawapo ni mtangazaji maarufu nchini tz Charles Hilary ambaye kwa sasa anatangazia azam tv na aliyewahai kuwa chief justice augustino ramadan,wengine ninaowafahamu sio watu maarufu.

siku utakapo fanya matembezi visiwani zanzibar,jumapili moja nenda pale anglican cathedral,utaona baadhi ya wanzanzibar wakristo na familia zao wakiwa katika ibada.
d60cb28fd7022441fb024fb0afaf93ff.jpg

hata wafanyakazi waswahili wanaofanya kazi pale,ni wanzanzibar wakristo.wanazungumza kiswahili pure cha kinzanzibar,lakini ni wakristo.
 
Yapo makanisa sema yamejificha ila kuna kubwa lipo kabisa sema nimesahau sehemu tambua kuna waarabu wazawa wakristo wapo wengi tu na wengi wanasalia ndani mwao so inasemekana saudia kuna wakristo wengi wanaosali kwa kujifichaficha tofauti na wale wazawa ambao wapo huru ila wanaobadili uislam kwenda ukristo ndio wanaojificha
Saudia wanaosalia kwenye makanisa yaliyojificha ni waphilipino.
 
Tulimuona mmoja mwaka 2010 tukitoka dom to dar mpk abiria wote kweny gari walishangaa.ha ha haa
 
Mimi sikuwahi kukutana na mmasai muislamu tangu nizaliwe, ila mwaka jana nilishangaa na kustaajabu nilipokutana na mmoja kule sanya juu tena shekhe kabisa anaitwa sheikh mollel!
kumbe wapo ila ni wa kutafuta kwa darubini
 
dini yeyote inayokushawishi ujue lugha ya jamii nyingine ili uweze kumwabudu Mungu hiyo ni dini ya uongo!
 
yupo rafk yng mmasai ndugu yake muislam.mmasai pure ....wala sio ajabu tembea utaona ukikaa ndan kwako utofahamu kitu.....
 
Back
Top Bottom