imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ole sendeka ni mmasai tena anajivunia,kuwa mmasai.Hv ole sendeka nae ni mmasai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ole sendeka ni mmasai tena anajivunia,kuwa mmasai.Hv ole sendeka nae ni mmasai?
Binafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?
Karibuni wakuu
Hatujasikia hao wengine kunyanyashwa isipokuwa waislamu tuHiyo sio point! Waislamu wachina wananyanyaswa na utawala wa kikomunist wa china,wakristu ambao ni wachache nchini china pia wananyanyaswa mabudha na watibet pia wananyanyaswa kiongozi wao wa kiroho dalai lama haruhusiwi china,anaishi india.wanafunzi waafrika pia wananyanyaswa.
Wee... Mimi sikujua!MAREHEMU SOKOINE ALIKUWA MUISLAM
Haswaa!Hv ole sendeka nae ni mmasai?
Ushaharibu swaumu yako
Weka kwenye kichwa chako, hayo mashuka kwa sasa yanavaliwa na kila kabila, so sio kila ukiona mtu kavaa hayo maguo basi ni Mmasai
Usiku mwema
We kibibi gagula Trump hakuwahi kusema chochote kuhusu Waafrika.
Believer wa fake news wewe.
Wewe ni Mhindi?Miafrika hata mfanywe nini na mzungu nyie mpo tu.
Wewe ni Mhindi?
Wamachame sio wachaga?Mchagga muislam....wachache sana
WamachameHakuna