Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

Binafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?

Karibuni wakuu
Wapo,mabadiliko yanayotokea kote duniani yanapelekea mabadiliko hayo masaini.
Uhitaji wa shule na umaskini umekuwa kichocheo kwao kusajiliwa kwenye dini hiyo ya waarabu.
Kijijini kwetu Khatmul Anbiyaa wamenunua eneo na kujenga nursery school,primary mpaka secondary.
Mwanzo wanawasajili bila kuwabadilisha dini lakini pole pole wanawapa majina ya kiarabu and then wanawapeleka msikitini.
Wamewapata wengi wa kizazi hiki kwa kupitia shule.
Na huyo mtanzania mwenye asili ya Iran ameendelea kununua maeneo mengi masaini kwa ajili ya shule zao na misikiti.
Pekee ambako hajafika ni Ngorongoro lakini kuna yule wa OBC,anayetoa ajira kwa upendeleo wa majina hasa ya kiarabu na hivyo kuchochea pia watu kubadilisha imani zao
 
Mimi ni Masai na nimezaliwa ktk uislam,tena wengi huwa hawaamini kama miye ni Masai hudhani ni half cast... Heheheeee
Lakini mimi ni Masai na niko very proud.
Tuacheni Masai jamani,mmezidi kutuandama.
Mmmh
 
Mbona wengi tu hasa Kiteto na Longido, mfano mzuri ni mtangazaji Amina Mollel, ni Mmaasai na ni mwislam mzuri, mume wangu pia ni Mmaasai na mwislam wa swala 5
Mama yake ni mrangi,nguvu ya papuchi
 
Bora mwislam lakini albino sijui wao huwa hawazaliwi albino
Kijiji jirani na nilikozaliwa,kuna mama mmoja ana vijana kati ya watatu /wanne na wote wana tatizo la ngozi yaani albinism,na ni waarusha(wamasai)
 
Wapo wengi. Kuna sehemu wanaita Nanja Monduli.
Nanja na Mti mmoja ni kwa sababu ya hizo shule za Khatamul,
Na ni watoto,
Wachache wanaoendelea na masomo ndo hubaki kwenye uislamu na wengine huutema mbeleni.
Wanaofeli basi tena ,wanafeli na uislamu
 
Ukienda sehemu iitwayo Nanja, mbele kidogo ya Monduli jeshini kwenye barabara kuu Arusha to Babati, barabarani kabisa utaona msikiti na immam wa pale pia waumini ni wamasai pure.
Maimamu wao ni warangi na wanyaturu
Wamefanikiwa tu kwa watoto wa shule
Na vijana wachache tena sio wa Nanja wala Mti mmoja
 
Nasikia india,ulaya,uarabuni na wenyewe wana masai wao
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Ni kweli mfano mzuri India wapo masai wao[emoji116]
eb916611218bc0a408275c07f3dc3c25.jpg
 
Yote jadilini lakini katika mavazi vazi la kimasai ni moja ya mavazi takatifu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huwezi kwenda kuhiji Makka na suruali ni mwendo wa RUBEGA pekee
 
saudia hakuna kanisa mkuu,
labda usemee syria,iraq,

saud hairuhusiwi
Yapo makanisa sema yamejificha ila kuna kubwa lipo kabisa sema nimesahau sehemu tambua kuna waarabu wazawa wakristo wapo wengi tu na wengi wanasalia ndani mwao so inasemekana saudia kuna wakristo wengi wanaosali kwa kujifichaficha tofauti na wale wazawa ambao wapo huru ila wanaobadili uislam kwenda ukristo ndio wanaojificha
 
Back
Top Bottom