Ndio huyo sheikh masikio?
Wanazaaga Ila Ina sadikika wanawauwaga kwa kuamini ni mtoto mwenye laana katika ukoo....Albino mmasai? Sio kwamba huwa hawazaliwi, ila hawapo. Labda kwa ndugu zetu wakenya, kama wana masai albino, wanacheka mauaji ya albino ya Shinyanga.
AbeeWagagalikikoko unawafahamu? au Watindiga? ni bushman hao akifa kwao mmoja hujua Mungu kawaona wanahama pori
Wewe umeshawahi kumuona masai shekhe MolingaHuwezi kuona kila kitu vingine wataona wenzako kwa niaba yako.
Nenda Chalinze utawakuta wengi tu.Wewe umeshawahi kumuona masai shekhe Molinga
itanibidi niendeNenda Chalinze utawakuta wengi tu.
Mawazo mfanano, hata mimi nilikuwa nafikiria hili jamboHivi hawa jamaa masai tuseme hawana dini au nini,
Mimi mpaka sasa sijawahi ona masai shekhe.
Je wewe hujawai ona masai wa namna gani?
Cc Zero IQ
Tatizo lenu mnaangalia wavaa mashuka tu na akili zenu zimeshakariri kuwa Masai ni yule anayevaa shuka tu, kumbe kuna Masai kibao hizo habari za mashuka hawafagilii wanapokuwa mijini, kwaufupi Masai wapo kwenye kila faniHivi hawa jamaa masai tuseme hawana dini au nini,
Mimi mpaka sasa sijawahi ona masai shekhe.
Je wewe hujawai ona masai wa namna gani?
Cc Zero IQ
Shida ni dhikri huwapandisha mori hivyo wakaona uisilamu hauwafai.Hivi hawa jamaa masai tuseme hawana dini au nini,
Mimi mpaka sasa sijawahi ona masai shekhe.
Je wewe hujawai ona masai wa namna gani?
Cc Zero IQ
Mbona Sheikh Mollel alikuwepo pale msikiti mkuu Arusha, miaka ya nyuma kidogo?Hivi hawa jamaa masai tuseme hawana dini au nini,
Mimi mpaka sasa sijawahi ona masai shekhe.
Je wewe hujawai ona masai wa namna gani?
Cc Zero IQ