Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Kama kweli wewe unataka heshima kama ulivyojinasibu ungeanza kwa na huyo aliyesema uislam dini ya magaidi,,,mkuu ugaidi hauna justification, na Mungu wa kweli huwa hatetewi. vilevile, sio dini zote za magharibi wanakubali usodoma,. na pia hata zile dini zinazokataza usodoma kwenye vitabu vyao kimatendi watu wake sio kwamba hawafanyi, nenda arabuni, zanzibar, mombasa, tanga etc kagua marinda ya mabinti wanaoolewa au fanya tafiti ya mapunga utapata jibu hadi ukimbie. tuheshimiane tu hizi dini wala tusinyoosheane vidole.
Uislam sio dini ya magaidi, ila kuna magaidi wengi waislam kuliko wa dini zingine though dini hii haishawishi watu wafanye ugaidi. kwahiyo kuna waislam baadhi wanaishafua dini hata inashindwa kueleweka vizuri kwa wasio waislam. ila nakubaliana na wewe kuwa uislam sio ugaidi. hapo vipi?Kama kweli wewe unataka heshima kama alivyojinasibu ungeanza kwa na huyo aliyesema uislam dini ya magaidi,,,
Hao jamaa wakipata mafunzo ya dini wanajua kuhubiri na huwa hawachoshi.
Mjibu Mwizukulu mgikuru aliyesema dini ya magaidi sio mimi,, mimi najua magaidi ni marekani na washirika wake ambao kwa nguvu yao tu ya kiuchumi na kijeshi hupelekea kuvamia mataifa mengi hasa yale yenye utajiri wa mafutaUislam sio dini ya magaidi, ila kuna magaidi wengi waislam kuliko wa dini zingine though dini hii haishawishi watu wafanye ugaidi. kwahiyo kuna waislam baadhi wanaishafua dini hata inashindwa kueleweka vizuri kwa wasio waislam. ila nakubaliana na wewe kuwa uislam sio ugaidi. hapo vipi?
ππ Hii Ina make sense mkuu.ThnxsUsiku wanafanya kazi ya kulinda vitasa, akipata kazi mmoja wanakuja wanne kumpiga tafu mwenzao
Mollel alikua muarusha sio mmasaiMbona Sheikh Mollel alikuwepo pale msikiti mkuu Arusha, miaka ya nyuma kidogo?
Wanaua wakizaliwa zeruzeru au kilema,ni jamii zilizosoma ndio utakuta vilemaMbona mimi sijawahi kumwona masai zeruzeru na silalamiki.
Hahaha!!! Aicee umenikumbusha huku mtaani kuna bar imeandikwa hapo nje eti "DRINK BEER TO SAVE WATER"Kunywa bia.
Mollel ni koo ya waarusha siyo masaiMbona Sheikh Mollel alikuwepo pale msikiti mkuu Arusha, miaka ya nyuma kidogo?
Binafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?
Karibuni wakuu
sijawahi kuona mmasai mkatoliki, naona walutheri na wapentekoste tukule walutheran waliingia mapema sana, na kwa kenya kidogo kuna catholics. majority ya wamasaai Tanzania ni walutheran hata madhehebu mengine ya Kikristo hawapo, sembuse kuwa waislam?
Waarabu wakristo wapo wengi nchi za Iraq, Algeria, Syria na hata Israelmbona hujauliza kama kuna mzanzibari au mwarabu mkristu?
Wapo wengi tusijawahi kuona mmasai mkatoliki, naona walutheri na wapentekoste tu
Mwenyekiti anahusika na vikao vya ndani, si soka la uwanjani.Ila yupo mmasai mmoja pale Bagamoyo eti yy ndio mwenyekiti wa chamancha soka.bagamoyo ..huyonmasai hata danadana kupiga hajui πππ
Omba mmasai akamate wife wife hachomoiPia mtujuze kuhusu;
Mmasai mwenye sauti ya besi
Mmasai albino