Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Kama kweli wewe unataka heshima kama ulivyojinasibu ungeanza kwa na huyo aliyesema uislam dini ya magaidi,,,mkuu ugaidi hauna justification, na Mungu wa kweli huwa hatetewi. vilevile, sio dini zote za magharibi wanakubali usodoma,. na pia hata zile dini zinazokataza usodoma kwenye vitabu vyao kimatendi watu wake sio kwamba hawafanyi, nenda arabuni, zanzibar, mombasa, tanga etc kagua marinda ya mabinti wanaoolewa au fanya tafiti ya mapunga utapata jibu hadi ukimbie. tuheshimiane tu hizi dini wala tusinyoosheane vidole.