Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

mkuu ugaidi hauna justification, na Mungu wa kweli huwa hatetewi. vilevile, sio dini zote za magharibi wanakubali usodoma,. na pia hata zile dini zinazokataza usodoma kwenye vitabu vyao kimatendi watu wake sio kwamba hawafanyi, nenda arabuni, zanzibar, mombasa, tanga etc kagua marinda ya mabinti wanaoolewa au fanya tafiti ya mapunga utapata jibu hadi ukimbie. tuheshimiane tu hizi dini wala tusinyoosheane vidole.
Kama kweli wewe unataka heshima kama ulivyojinasibu ungeanza kwa na huyo aliyesema uislam dini ya magaidi,,,
 
Kama kweli wewe unataka heshima kama alivyojinasibu ungeanza kwa na huyo aliyesema uislam dini ya magaidi,,,
Uislam sio dini ya magaidi, ila kuna magaidi wengi waislam kuliko wa dini zingine though dini hii haishawishi watu wafanye ugaidi. kwahiyo kuna waislam baadhi wanaishafua dini hata inashindwa kueleweka vizuri kwa wasio waislam. ila nakubaliana na wewe kuwa uislam sio ugaidi. hapo vipi?
 
Uislam sio dini ya magaidi, ila kuna magaidi wengi waislam kuliko wa dini zingine though dini hii haishawishi watu wafanye ugaidi. kwahiyo kuna waislam baadhi wanaishafua dini hata inashindwa kueleweka vizuri kwa wasio waislam. ila nakubaliana na wewe kuwa uislam sio ugaidi. hapo vipi?
Mjibu Mwizukulu mgikuru aliyesema dini ya magaidi sio mimi,, mimi najua magaidi ni marekani na washirika wake ambao kwa nguvu yao tu ya kiuchumi na kijeshi hupelekea kuvamia mataifa mengi hasa yale yenye utajiri wa mafuta
 
Binafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?

Karibuni wakuu
 
kule walutheran waliingia mapema sana, na kwa kenya kidogo kuna catholics. majority ya wamasaai Tanzania ni walutheran hata madhehebu mengine ya Kikristo hawapo, sembuse kuwa waislam?
sijawahi kuona mmasai mkatoliki, naona walutheri na wapentekoste tu
 
Wamasai ndio brand ya utalii tanzania hata wakiishi mbuga za wanyama na hifadhi hawatabughudhiwa
 
Back
Top Bottom