msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,880
ni sawa na kukutana na polisi ambaye ni kilemaBinafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?
Karibuni wakuu