Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

Nishawah ila Sijawah kukutana na Mmasai kwenye nyumba ya kupanga nakat wapo weng tuu mjin, sasa najiuliza huwa walala wapi, au kila jion wanarud mbugan kwao
 
duu, mbona wengi sana wapo hivyo, nenda zanzibar uone huko wanyamwezi na wasukuma, papuchi inafanya watu wawe na maamuzi magumu ambayo hutegemei, tena wale wanaobadilishwa na kuwa huko unakuta mistari yote ipo kichwani, achana na nguvu ya papuchi,
ahahahahaha chaaaaa[emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Oh! Kumbe uzuri umerithi kutoka kwa bibi eh! Hongera sana.

Baba ni Masai na wazazi wake ni Masai wote ila bibi yangu kwa baba kachanganya na Ethiopians.
 
Binafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?

Karibuni wakuu
Ranoy Abdallah lukudana hili jin la mwisho sijui kama nimeliandika sahihi,ssa hivi anafanya kazi TCC daresaalam
 
HAKUNA MMASAI ISLAMIC KABISA............ KUNA WAKIRISTO TENA KWA UCHACHE. DINI NDIO INAENEA HUKU KWETU SASA...
 
Naona nyuzi kuhusu Wamasai zinazidi sana humu Jukwaani. Sijajua shida ni nini, mara wenye base, mara Waislamu. Mara Masai Albino. Mbutaah!. Shee, Nini kinawasumbua Wakuu?

Twende kwenye mada, wapo wengi sana tu. Nenda hapo pwani Chalinze, utawakuta wa Kumwaga. Nenda Arusha, kuanzia Monduli shuka mpaka Kiteto, njoo mpaka Simanjiro. Wapo wengi tu.
 
Naona nyuzi kuhusu Wamasai zinazidi sana humu Jukwaani. Sijajua shida ni nini, mara wenye base, mara Waislamu. Mara Masai Albino. Mbutaah!. Shee, Nini kinawasumbua Wakuu?

Twende kwenye mada, wapo wengi sana tu. Nenda hapo pwani Chalinze, utawakuta wa Kumwaga. Nenda Arusha, kuanzia Monduli shuka mpaka Kiteto, njoo mpaka Simanjiro. Wapo wengi tu.
Si yale madawa yao mkuu, yameanza kufanya kazi vilivyo
 
Back
Top Bottom