kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,815
- 6,517
HahahahaEti Ustaadh Ole Porukwa! Hahahahaaa!
Dah kidogo nikojolee mboga hapa sijui leo ningeeleza nn😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaEti Ustaadh Ole Porukwa! Hahahahaaa!
Sio story ya kutunga,wamissionari walipata tabu katika baadhi ya makabila ya waafrika hasa wakushi na wanailoti kuliko kuliko makabila mengine.Story ya kutunga
Abubakari Elekoroki... jamaaa yanguBinafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?
Karibuni wakuu
Bora mwislam lakini albino sijui wao huwa hawazaliwi albinoMkuu swaumu imebamba sana ...?
maana maswali unayo tuswalika ni tatanishi sana
kama la kuuliza "ushawahi kutana na masai albino".
Kutosha kufanyeje? Kupika futari?Waislam wa kabila la Maasai wapo sio wengi ila wapo wa kutosha.
Ingebidi ujisalimishe tu kwa mama yeyoo!Hahahaha
Dah kidogo nikojolee mboga hapa sijui leo ningeeleza nn😀😀😀
HakunaJe wachaga??
Wa arusha nipoHuku kwetu Arusha wapo wamasai waislamu,ila ni wale waliobadili dini!!na wanaswali vizuri tu
Kuuwa simba sio kazi ngumu ?
Mke wa aliyekuwa rais wa Egypt anaitwa Hussein Mubarak anaitwa Suzan Mubarak wala hakuslim kwa ndoa ila watoto wake ni waislam.waarabu wakristo wapi chuganian, lebanon wamejaa kibao, syria wapo, iraq wapo, kama utamkumbuka tareq aziz alikuwa ni waziri wa Saadam na alikuwa mkristo