xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,134
- 7,338
Mia mia shem shemela[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tena wasituzoee kabisa kama hawana plan B.
Ndio mie wa town nimezaliwa Mount Meru Hosp ati...ila haiondoi asili yangu shemela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mia mia shem shemela[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tena wasituzoee kabisa kama hawana plan B.
Ndio mie wa town nimezaliwa Mount Meru Hosp ati...ila haiondoi asili yangu shemela.
Wamasai waisilamu wapo na wanaupokea uisilamu kwa wingi,japo hata dini nyingine wamasai ilikuwa vigumu kuwabadilisha dini zao za kiafrika ilibidi waletewe maradhi ya ng'ombe ili wamissionari waweze kuwabadili.
Hata waarusha mnajiita wamasai,Mimi ni Masai na nimezaliwa ktk uislam,tena wengi huwa hawaamini kama miye ni Masai hudhani ni half cast... Heheheeee
Lakini mimi ni Masai na niko very proud.
Tuacheni Masai jamani,mmezidi kutuandama.
sisi ni waarusha. tunajua wapo wewe wa dar usilete za kuleta humu chaliiiiiBinafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk?
Karibuni wakuu
Waarusha ni Masai wa mjini,hivyo sote ni Masai.Hata waarusha mnajiita wamasai,
Waarabu pekee ndio waliotokana na uislam kupitia Mtume wetu Muhammad (SAW),wengine wote tumezaliwa ktk jamii za waliosilimishwa.Wamasai Waislamu wapo ila wametokana na kusilimishwa kisha kuzaa vizazi ambavyo vinauendeleza Uislamu ktk jamii yao.
Waarusha na Masai ni kabila tofauti wa kwanza no Bantu wanaofuatia ni Nilots.Waarusha ni Masai wa mjini,hivyo sote ni Masai.
Hata hivyo nikisema mimi ni Masai hakuna wa kunipinga humu,haya ni maisha yangu binafsi.
Baba ni Masai na wazazi wake ni Masai wote ila bibi yangu kwa baba kachanganya na Ethiopians.Waarusha na Masai ni kabila tofauti wa kwanza no Bantu wanaofuatia ni Nilots.
Umependa tu umasai kujiita lakini hakuna masai kama chotara hiyo ni iraqw labda
Kumbe nishakukosa ole meseyaki haaaaMimi ni Masai na nimezaliwa ktk uislam,tena wengi huwa hawaamini kama miye ni Masai hudhani ni half cast... Heheheeee
Lakini mimi ni Masai na niko very proud.
Tuacheni Masai jamani,mmezidi kutuandama.
Kama ni kuhusu regardless ni ngumu kumeza mkuu, labda tuunde kamati kama ya profesa Mruma watuletee mrejeshoWaarabu pekee ndio waliotokana na uislam kupitia Mtume wetu Muhammad (SAW),wengine wote tumezaliwa ktk jamii za waliosilimishwa.
Hata hivyo hoja hapa ni Wamasai Waislam regardless mambo ya kusilimishwa.
Unaota weweAcha bwana wanzibar ni 50% wakristu..lol
Story ya kutungaWamasai waisilamu wapo na wanaupokea uisilamu kwa wingi,japo hata dini nyingine wamasai ilikuwa vigumu kuwabadilisha dini zao za kiafrika ilibidi waletewe maradhi ya ng'ombe ili wamissionari waweze kuwabadili.
Hapo nimekupata mremboBaba ni Masai na wazazi wake ni Masai wote ila bibi yangu kwa baba kachanganya na Ethiopians.
Wewe ni Masai muislamu? Tuanzie hapoWabongo bhana, mtu hata huko wanapoishi wamasai haupajui...! alafu unauliza swali la jumla "eti ushawahi kukutana masai muislam" kijana fungua ubongo wako na ujiulize tu "Ninaishi hapa kigogo mbuyuni, tembea yangu sana nimeenda bunju utamuuliziaje swali mtu anayeishi Manyara au Arusha......?"
Kijana Fanya utafiti misikiti mingapi ipo monduli?, simanjiro, olekesmet n.k
Tembea kuanzia Kisongo, duka bovu mpaka unafika babati njiani kuna misikiti mingapi na unaokutana nao ni raia wa aina gani?
Kwa ujumla sisi huku afrika dini zililetwa na waarabu na wazungu, mababu zetu walikuwa na dini zao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama ni kuhusu regardless ni ngumu kumeza mkuu, labda tuunde kamati kama ya profesa Mruma watuletee mrejesho