Ndiyo umefika ila utakamatwa muda sio mrefu, bandu bandu.... Umenogewa mzeeNilitaka ondoka leo mkuu lakini nmefikiria upya nmeona safari niianze kesho[emoji2]
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Nitaongeza Tahadhari Mkuu, nitaongezaaa[emoji23][emoji23]Ndiyo umefika ila utakamatwa muda sio mrefu, bandu bandu.... Umenogewa mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani.Ilikuwa ni kongamano la TYCS nilikuwa form 4. Tulienda parokiani tulikaa pale siku 3. Nililiwa kimasihara na brother hapa waromani mnaelewa brother ni mtu gani katika imani yetu. Naishia hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi, Hadi wazee wastaafu wanahamasisha watu walete stori, utasikia..
"Wakuu, leteni visa basi"
Wastaafu oyeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa walipanga 3 some au mume alipanga mke achakatwe na ww???Nina visa vingi sana vya kimasihara lakini hiki ni kisa kilivunja record zangu za kibaharia [emoji1787][emoji1787]
Kutokana na safari za kwenda nchi jirani mara kadhaa nilifanikiwa kujenga urafiki na wana flani ambao tulikuwa nao kwenye kutafuta mkate wa kila siku, ila baadae baadhi yao watatu walipata mchongo mbele wakabwaga fasta DXB. Baada ya miezi michache bata lao lilikuwa heavy sana maana walipata kazi za kuwalipa vizuri tu
Siku ya siku wakanivuta kuwatembelea nikasema ewala sikuchelewa pale kuatembelea toua ya miezi 3
Kufika salama nikawa na mizunguko ya hapa na pale jioni masanga
Weekend moja tukala tour moja ndefu kidogo DXB-RAK kuangaza macho na kufurahia maajabu ya mji na wana sasa kumbe wenyewe ni watu wa nyama za mafungu Tinder imelipiwa lakini kule tulipoenda mitikasi ile kuipata mbinde sana wakati huo
Tukafanya check in resort moja kubwa tu kwahiyo baada ya kuzunguka sana na kutafuta mbususu tukajikatia tamaa tukaamua tulewe tu
Wakunywa alikunywa na wa shisha alivuta vyema. lakini mimi nilikuwa naangalia kama naweza baatisha mgegedo wa online zipo lakini mbali sanaaaa. Baadae watu walilala usingzi wa kilevi levi tu ila mim niliamka mapema kupimia pimia kwenye swimming pools na beach kubahatisha ni hotel kubwa ile nilizunguka sana bila mafanikio[emoji1787][emoji1787]
Baada ya muda flani mida kama saa nne asubuhi nikaenda beach nikaoga mkosi nikarudi chobingo nimetulia nje kidogo ya room yangu nafinya smirnoff yangu na sprite kwa mbali kidogo naona couple flani ya muhindi mmoja na jamaa yake kama wananijadili kitu,baadae nikaona wanasogea kuja kwangu kutokana na kijua basi mvinyo ulishafika kichwani kiasi
Yule dada wa ki-bombay alikuja akaniomba nimpige picha kichwani najiuliza huyu alikuwa na jamaa hapa saa hii anataka mimi nimpige picha?
Ikawa siyo kesi nikamfotoa za kutosha lakini kadiri navyopiga picha anasogea sehemu isiyo na uwazi na mpiga picha naenda mule mule akanichana live bwana kama hutojali uje room yangu kuna besdei party nikamwitikia tu lakini skiwa interested maana alikuwa na jamaa yake
Baadae nikawa naenda ku upgrade room nikasikia mtu ananiita heeey excuse mee!! Where are u going? Please come!!
Nikaenda nikakaribishwa ndichi lao fresh story za hapa na pale akaniuliza swali ushenzi "I want to try something new,can we do it''? Huku akisisitiza kwamba nisiwe na wasi kila kitu kilishapangwa baina yalke na jamaa lake
Nikasema moyoni hapa nimekaa siku 3 sijafuma chance yoyote na huyu mbuzi wa shughuli kaja mwenyewe me ninakosa gani?[emoji23][emoji23][emoji23]Au nikimpa anachotaka nitapungukiwa nini?
Kichwa kidogo kilikuwa hakitulii mashetani yameshaanza kucheza nacho cricketr. Hasa nilipokuwa naangalia ziwa ambalo sijawahi kuona ukubwa ule hapa chini kwetu. Kila kitu walipanga na mwenzie wanavyojua wao me nikaanza makinikia yangu. Three good hours nipo ugenini kwenye uchakataji wa usio na jasho kabisaa. Wana walipiga simu sana lakini baadae walitulia maana walijua nimebahatisha
Yule bidada aliburudika na akataka uwe mpango endelevu nikakataa maana siyo mitikasi yangu, na kimasihara yangu ni hiyo wakuu
Hii tabu sana [emoji1787][emoji1787], mambo ya ngoswe haya, ila kanifundisha jambo wageni wa kiume kwangu nitakua nao makini
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine hao ndio wafanya maombi,hivi huyo sir God atasikiliza dua kweli,tukiwaambia mnamtesa marehemu mnabishaJana jioni mida ya saa1 kasoro nilikua na washkaji zangu wawili, tunatoka kuangalia mpira wa ndondo mitaa fulani hivi. Sasa kipindi tunatoka tukapita shule ya msingi hivi, kuna dada mmoja hivi alikua mbele yetu akawa amesimama anamuita mwenzake yupo nyuma yetu, we Amina si uwahi twende.
Amina akasema nawahi nini mtu mwenyewe sina Mme, washkaji zangu wakaanza kuniambia mweri zari hilo we ndio hujaoa.
Na mimi nikaanza kupanda nae hewani mtoto anaanza kusema ooh mimi mwanaume wa barabarani hapana, nikamuweka sawa tukakaa hapo shuleni yule mwenzake akatangulia kwao. Ndio mtoto akaniambia eti wanatoka kwenye kongamano la kumuombea magufuli.
Kagiza giza kalipoingia mlinzi wa shule akaja kututimua, nikamtuliza kwa 2000 mzee kafurahi akaniambia nendeni kwenye lile darasa ndio hua halifungwi.
Basi nikajipigia zangu bao 2 fresh, halafu nikampa namba za simu za uongo kwa sababu nina demu wangu classic kumzidi yeye.
Mamdogo baba yakoPoa poa mamdogo hakuna shida
Wauza samaki tabia zao ndo hizo, uliuza match kapime
Kama wanaofuata samk wenyewe Iwe bwawani au ziwani wavuvi wanawala Sana kimasihara iliwakuze mitaji nakupata samk kwauharaka yaani nawapongeza wale wadada wanaoendaga huko nakondom wakijua lolote linaweza kutokeaSio wauza samaki tuu hata hawa wa migahawani ndo zao hizo
Hahahahahagive her her book is CORRECT
BUT
give him him book is INCORRECT
is english female?????????
hii lugha ya kithenge saana [emoji38][emoji38][emoji38]
Habari ikufikie kuwa sipendi kondomu.Wauza samaki tabia zao ndo hizo, uliuza match kapime
ni ngumu kuamini lakini kutokana na matatizo ya jamaa basi ikabidi apishe uwanjaSasa walipanga 3 some au mume alipanga mke achakatwe na ww???
Pole sana na nakuombea uwe salama...ila kama kweli umedhamiria kupima basi jiandae pia kisaikolojia kuyapokea matokeo vyovyote itakavyokuwa....Yakija Negative shukuru then endelea kupambana..Yakija Positive plz jitahidi kuyapokea kama yalivyo ili usipoteze focus kwenye mambo yako..Najua ni vigumu kuyapokea ila jitahidi hivyo hivyo...
Kama hauko tayari kuyapokea majibu plz usiende kupima...ni bora tu kujiaminisha kuwa uko salama, akili itatulia na mwili utarejea then maisha yataendelea....mimi nina uncle wangu, sio shabiki wa kinga na hachagui dem,,,yoyote yule anakula..namaanisha yoyote yule..hana stress wala nn na yuko njema kiafya..so ondoa hofu mkuu nenda kapime..ila kama hauko tayari kuyapokea matokeo ondoa hofu then endelea na mishe zako.
Mkuu hapo kwenye aye ya mwisho kuna maeneo mengi ya msingi hayakufafanuliwa vyema. Ninashauri uje na part two yake.Nina visa vingi sana vya kimasihara lakini hiki ni kisa kilivunja record zangu za kibaharia 🤣🤣
Kutokana na safari za kwenda nchi jirani mara kadhaa nilifanikiwa kujenga urafiki na wana flani ambao tulikuwa nao kwenye kutafuta mkate wa kila siku, ila baadae baadhi yao watatu walipata mchongo mbele wakabwaga fasta DXB. Baada ya miezi michache bata lao lilikuwa heavy sana maana walipata kazi za kuwalipa vizuri tu
Siku ya siku wakanivuta kuwatembelea nikasema ewala sikuchelewa pale kuatembelea toua ya miezi 3
Kufika salama nikawa na mizunguko ya hapa na pale jioni masanga
Weekend moja tukala tour moja ndefu kidogo DXB-RAK kuangaza macho na kufurahia maajabu ya mji na wana sasa kumbe wenyewe ni watu wa nyama za mafungu Tinder imelipiwa lakini kule tulipoenda mitikasi ile kuipata mbinde sana wakati huo
Tukafanya check in resort moja kubwa tu kwahiyo baada ya kuzunguka sana na kutafuta mbususu tukajikatia tamaa tukaamua tulewe tu
Wakunywa alikunywa na wa shisha alivuta vyema. lakini mimi nilikuwa naangalia kama naweza baatisha mgegedo wa online zipo lakini mbali sanaaaa. Baadae watu walilala usingzi wa kilevi levi tu ila mim niliamka mapema kupimia pimia kwenye swimming pools na beach kubahatisha ni hotel kubwa ile nilizunguka sana bila mafanikio🤣🤣
Baada ya muda flani mida kama saa nne asubuhi nikaenda beach nikaoga mkosi nikarudi chobingo nimetulia nje kidogo ya room yangu nafinya smirnoff yangu na sprite kwa mbali kidogo naona couple flani ya muhindi mmoja na jamaa yake kama wananijadili kitu,baadae nikaona wanasogea kuja kwangu kutokana na kijua basi mvinyo ulishafika kichwani kiasi
Yule dada wa ki-bombay alikuja akaniomba nimpige picha kichwani najiuliza huyu alikuwa na jamaa hapa saa hii anataka mimi nimpige picha?
Ikawa siyo kesi nikamfotoa za kutosha lakini kadiri navyopiga picha anasogea sehemu isiyo na uwazi na mpiga picha naenda mule mule akanichana live bwana kama hutojali uje room yangu kuna besdei party nikamwitikia tu lakini skiwa interested maana alikuwa na jamaa yake
Baadae nikawa naenda ku upgrade room nikasikia mtu ananiita heeey excuse mee!! Where are u going? Please come!!
Nikaenda nikakaribishwa ndichi lao fresh story za hapa na pale akaniuliza swali ushenzi "I want to try something new,can we do it''? Huku akisisitiza kwamba nisiwe na wasi kila kitu kilishapangwa baina yalke na jamaa lake
Nikasema moyoni hapa nimekaa siku 3 sijafuma chance yoyote na huyu mbuzi wa shughuli kaja mwenyewe me ninakosa gani?😂😂😂Au nikimpa anachotaka nitapungukiwa nini?
Kichwa kidogo kilikuwa hakitulii mashetani yameshaanza kucheza nacho cricketr. Hasa nilipokuwa naangalia ziwa ambalo sijawahi kuona ukubwa ule hapa chini kwetu. Kila kitu walipanga na mwenzie wanavyojua wao me nikaanza makinikia yangu. Three good hours nipo ugenini kwenye uchakataji wa usio na jasho kabisaa. Wana walipiga simu sana lakini baadae walitulia maana walijua nimebahatisha
Yule bidada aliburudika na akataka uwe mpango endelevu nikakataa maana siyo mitikasi yangu, na kimasihara yangu ni hiyo wakuu
Mkuu sidhani kama kuna mahali sijafafanua vyema ila baada ya mwasiliano ya muda na dada alifunguka ni sex addicted person na kumbe wanakikundi chao cha kuchakataana in groups na kiingilio ni uwe na demu sasa mimi ningetoa wapi mtu wa tabia hizoMkuu hapo kwenye aye ya mwisho kuna maeneo mengi ya msingi hayakufafanuliwa vyema. Ninashauri uje na part two yake.
Mkuu Mimi ninakushukuru sana kwa bandiko lako. Ingawa limeniacha na shauku kubwa sana. Dah! Huyo mdada mapunda.Mkuu sidhani kama kuna mahali sijafafanua vyema ila baada ya mwasiliano ya muda na dada alifunguka ni sex addicted person na kumbe wanakikundi chao cha kuchakataana in groups na kiingilio ni uwe na demu sasa mimi ningetoa wapi mtu wa tabia hizo
kwahiyo nikaachana nao 😅😅😅