[emoji23][emoji23][emoji23] wee ndo unawadanganya waenzio ili uwa win wakuone kidume cha haja, kumbe hakuna maajabu yeyote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa ndipo ulipo udhaifu wako.
HAMNA MWANAMKE MWENYE MISIMAMO KAMA HAMCHI MUNGU NAHANA HOFU YA MUNGU.
HAYUPOOOOOO, HAYUPOOOOOO HAYUPOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Yaaan nisawa na wee uwe mwanamke unayetumia pombe alafu uwe.mgumu[emoji23][emoji23][emoji23]
Danganyeni maboyaaa wasowajuaa
Ahsanteeeh, kikubwa umeelewa nilichokua nataka ufahamu.Nikupuuze .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu relaaaax kwani Dr, usichukulie seriouz sana, naona unatoka kwenye tunachojadili unakuja kunizungumzia mie,Ndio maana nikachagua kukupuuza mkuu... Huwajui wanawake , na sijui km umewah kua na mwanamke au wee ni mwanamje sijui.
Hahaha anayewajua wanawake atanielewa
Hujawah kuambiwa Tuma na yakutolea????
Pesa ya mwanamke niyake yeye.
Ndio maana anakuletea mzigo kwa hela yako, unapiga.nabado unamoa hela
Ni Nature ndivo ilivyo
Ukianza kudate nao, utakuja kuniambia.
Basi lazima wa tofauti tuwepo. Ni akili za kitoto kukariri tu wote tunafanana.I salute your opinion ila still unanipiga chenga ya mwili ujue.. Mimi mwenyewe sipendi mwanamke cheap of course ila siungi mkono u-hardcore kwenyenye kupanda mti kwenye hako kashimo[emoji4]
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
My dear did you get me? Virtually YES ila it doesn't make someone an angel kuwa hardcore... Ila tuelewana vizuri futa neno masikhara kwenye mind yako.Basi lazima wa tofauti tuwepo. Ni akili za kitoto kukariri tu wote tunafanana.
Aah mkuu, hiyo kauli nilikua namjibu huyo wa kujichetua huko juu. Wewe hapana kabisa mkuu. Na unastahili kutunukiwa. [emoji23][emoji23]My dear did you get me? Virtually YES ila it doesn't make someone an angel kuwa hardcore... Ila tuelewana vizuri futa neno masikhara kwenye mind yako.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Yes, sometimes ndoa ni bahati. Ukaloge uolewe hiyo ndoa nayo ni baraka? Ulacunje ndoa za watu uolewe tuseme ni baraka? Hapana. Nitasema ndoa ni baraka kwa wale waliozipata kihalali tu.kwanini wanawake kuolewa mnaona kam bahati,,???
nadhan hii kitu ya kuona ni bahati ndo inafanya mpate tabu pindi msipopata mtu wa kuwaoa kwa wakati mnaouona ndo bahati.
Kwanza kutumia capital letters ni shouting. Halaf hao u aowakota ni level zako na mnafanana. Mtu maharage kopo moja umempata naye ni wa kujisifia? Kwa hayo machat hapo kuna mwanamke sasa hapo? Nitumie mitext ya hivyo nikufurahishe.Miss pablo, Sikia yaan Condition ni moja tu
UMCHE MUNGU NA UWE NA HOFU NAYE.
hizo zaaa watofauti tupo. Sijui tupo eehh tupo
Ni maneno na kelele tu na labda kama Hujawa kutana na Usumbufu kutoka kwa anayejua kusumbua.
Mimi Carlos, nikikutana naweee, nikakuona juu mpaka chini, nikaongea nawewe nikajua vitu unavyopenda ni vipi
Inatosha kujua kua Unalika au Lah
Kikubwa uwe unaomba sana kabla ya kutoka nyumban, kazin, n.k
Uwe unasali mbingu zikuepushe na Masihara ya Vijana.[emoji23][emoji23]
Kinyune nahapo, kimbunga cha mabadiliko ya Dunia, kinakupitia tuuu..wewe nani bwanaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Golden smile on my face kwenye Eid pili hii... I hope you know what I mean[emoji7]Aah mkuu, hiyo kauli nilikua namjibu huyo wa kujichetua huko juu. Wewe hapana kabisa mkuu. Na unastahili kutunukiwa. [emoji23][emoji23]
Asutufananishe na anaikutana nao.
Suala hapa tunajadili mtazamo wako kuwa wanawake wote ni rahisi, ndo ambacho tunakataa, hili suala la kuombwa wee nauli wala sikuwa namaanisha km wee ambavyo umelichukulia, ilikua masikhara tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]Uwii hahahahhaa uwiii yaan nikujadili wewe
Nnakuonyesha ... Kama kweli wee ni Kidume, suala la mwanamke kukuomba hela sijuo nauli sijui nn sio geni hata kama anao uwezo.
Nakama wee ni mwanamke suala hilo pia sio geni hata km unajiweza.
Ila kama hayo mawili yote haupo..
Endelea kunywa Chai mkuu. Siku ukianza , utarudi tuongee sasa ukiwa tayari ume experienc hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza kutumia capital letters ni shouting. Halaf hao u aowakota ni level zako na mnafanana. Mtu maharage kopo moja umempata naye ni wa kujisifia? Kwa hayo machat hapo kuna mwanamke sasa hapo? Nitumie mitext ya hivyo nikufurahishe.
mbona kama umeumia mno madame!!! basi fanya mkutane utuletee mrejeshoNamshangaa sana jinsi anavojitapa na kujifaragua humu ndani, kuwa yee ni pussy [emoji356], nikiangalia sasa muenendo wake hakna maajabu yeyote,
Hao wake za watu anaowapata kumbe ni sampuli za Malaya wa kimboka, khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu yeye anajaza wenzie humu ndani mtazamo huo wa kipuuzi, kuwa wanawake wote wako hivyo. Aseeeeh noumer kweli.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha yes yes yesGolden smile on my face kwenye Eid pili hii... I hope you know what I mean[emoji7]
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Only little boys utter such words. Eti nimepitia threads zako unalikaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya ndo makasiriko yenyewe... umeokotaaa zako wa ovyo hukoo basi ndo umejioa ufalme. Usije ukaliwa wewe tu siku mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wanawakeee
Mtu asiyewajua, anaweza sema daaahh huyu nibalaaa haingiliki
Kumbee ni woga wake.
nmepitia baadhi ya nyuzi zako na maelezo ya ndani yake.
jambo naloweza kukuhakikishia, Sijaona cha kunizuia kwako, sijaonaaa
And know what , uko weak saaaana
Na kwa kusema ivo, nakuthibitishia hili , Unalika kimasihara .
mwanamke na mwanaume yoyote ni malaya sema tu kutopata malaya mnaelewanaYes. Kwanza mke wa mtu anayejielewa na kujiheshim anagawaje? Ni malaya kwangu nawachukulia. Mke wa mtu umeingia kwenye maagano ya ndoa kwann ukagawe ovyo? Hapo ni unamtusi mumeo hajiwezi. Mungu aniepushie na hii kadhia. Ndo mwanzo wa kusambaziana mikosi na nuksi kuokota okota ovyo. Wengine wameolewa tuu bahati iliwaangukia ila tabja mbovu. Wengine wameolewa tu ili wasionekane wametia aibh kwao kutokuolewa. Wengine ndo kufata mali, wengine ugumu wa maisha. Kwahiyo wengine ni matambara tu asitubabaishe.