[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niumie kwa kipi sasa, kisa yeye kula masikhara? Khaaaaaaahmbona kama umeumia mno madame!!! basi fanya mkutane utuletee mrejesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Only little boys utter such words. Eti nimepitia threads zako unalikaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya ndo makasiriko yenyewe... umeokotaaa zako wa ovyo hukoo basi ndo umejioa ufalme. Usije ukaliwa wewe tu siku mkuu
Tuendeleee kushusha matukio tu ya uchakataji
Byenisiseme zaidi mkuu.
Haya Wewe ni mwanamke Imara, unajiamini, na huingiliki kirahisi, mrembo wa sura na umbo, mwenye elimu yakee , unajiheshim na unajithamini sanaaa unachukia kuchepuka nahuwez kuchepuka sababu unaipenda sana ndoa yako .
Sawa eehh [emoji23][emoji23][emoji23].
No, tunaelekezana mbinu ili wengine musirubunike na mbinu wenzenu watawaponza. Siyo mbinu zote zinaapply kwa woteHuu upimbi wa kubishania hapa muache. Qma nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwahiyo kwakua ulimla huyo bidada kana kwamba hadi alikutusi na kumpa mume wake number mwanzoni, na ukatishwa vikali, basi ukaona oooh yes nimeshamaliza na wanawake wote wako hivi, si ndivyo eeeeh?Ukizielewa sheria za mchezo basi utaucheza mchezo vzuri.
Sheria za mvuto kwa mwanamke hazijalishi ni mwanamke wa aina gani
nikupe hii..... Niliwah ingia ofisi ya wilaya hapo Ilala kufatilia mambo fulan
Nikabahatika pata namba na Bidada mmoja.
Nilipomchatisha ujinga, akanitukana sanaaa, na akampa namba Mume wake, jamaa akanitishiaaa sanaa yaan sanaaaaaa.
Mwezi mmoja baadae, Nilimla huyo mwanamke.
Endeleen kujipa moyo, asoelewa akili zenu. Anaweza Kuwaogopa.
Mkaelekezane pm huko. Nimekuja kusaini hapa nakuta chat za kijinga tu.No, tunaelekezana mbinu ili wengine musirubunike na mbinu wenzenu watawaponza. Siyo mbinu zote zinaapply kwa wote
Kuna mwingne alirudi humu kulalamika kuwa kaponzwa na huyu huyu Dr [emoji23][emoji23][emoji23], amehama mtaa bila kupenda huku kodi haijaisha,No, tunaelekezana mbinu ili wengine musirubunike na mbinu wenzenu watawaponza. Siyo mbinu zote zinaapply kwa wote
[emoji23][emoji23][emoji23] nmekuambia huyo mwanamke ni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwahiyo kwakua ulimla huyo bidada kana kwamba hadi alikutusi na kumpa mume wake number mwanzoni, na ukatishwa vikali, basi ukaona oooh yes nimeshamaliza na wanawake wote wako hivi, si ndivyo eeeeh?
Wee Dr unajidanganya wapo wanawake wanaoweza kujisimamia wenyewe pasipo kutegemea mtu wa pembeni, mbna kitu real hiki, wee una kataa nn sasa? Unasema WACHA MUNGU tu ndo ambao huwawezi.
Nakuambiaje wapo watu ambao hawana misingi ya imani kihivyo, ila huwezi kumgusa kamwee, ni suala la mtu binafsi juu ya maamuzi yake ktk uwanja wa mahusiano.
Acha kuwa mbishi wee, khaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Unacheka mwenyewee kumbe unawaingiza mkenge wenzio, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee khaaah, mbishi sana khaaah, tutakesha hapa,[emoji23][emoji23][emoji23] nmekuambia huyo mwanamke ni
LAZIMA, YAAN NI LAZIMA AWE MCHA MUNGU KWELIKWELI NAMWENYE HOFU YA MUNGU KWELIKWELI.
sijakataa hayupo.wapo ILA NI LAZIMA WAOBEY HILO NLOANDIKA.
NAKAM KAOLEWA, MUMEWE NAYE ASIWE.MCHEPUKAJI NA BADO YEYE MWENYEWE NI MWENYE HOFU YA MUNGU.
Mengineeee yalobaki ni makelele tuuuuuuu ni makeleleeeeeeeeee .
Labda kama una mwonekano ,usomvutia Mlaji wa masihara.
Haya bhana sawa Dr.Hamnaaa mimi sijawah muingiza mtu mkenge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtakuja muniue mimi. Weeeee... sijaupitia muda huu uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halaf akapigishwa fine ya nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asaaalaaaleee. Anawaponza wenzake tu. Waache wengine wakikute wanapelekana na mahakamani. Txt zenye maneno makali anawaandikia hao wa kumfanania namwambia anakataa. Pole kwa yaliyomkutaa[emoji23][emoji23]Kuna mwingne alirudi humu kulalamika kuwa kaponzwa na huyu huyu Dr [emoji23][emoji23][emoji23], amehama mtaa bila kupenda huku kodi haijaisha,
Mwingne alikalishwa kikao kwa balozi, kisa kumtumia text ya matusi mke wa balozi huyo huyo [emoji23][emoji23][emoji23],
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Aisee G kwa visa vyako hivi, kungekuwa na tuzo za uzinzi ningeshauri upewe bila kupingwa.Mkiambiwa ukweli mnasema ubishi.
Ivi nje ya kumcha Mungu na Kua na hofu naye
Kuna la kukulinda?? Et kwa akili zako, unaamua tu kua sasa, Sitamkubali mtu yoyote
MNAJIDANGANYAAAA[emoji23][emoji23][emoji23]
Dear Anne, ni muda mrefu bila kukuona humu , naamini uko poa kabisa mdada .Aisee G kwa visa vyako hivi, kungekuwa na tuzo za uzinzi ningeshauri upewe bila kupingwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho wa siku italiwa na mchea, maisha haya!Hii kwangu haiapply. Na mpk tukutane ni moyo wangu ukukubali. Kama vioi nacancel tu moyo wangu umekukataa. Yaan hata uimbe bob marley souljer sijui mimi malaika. Tena usishangae nikakusemesha na sauti ya kibezi... Sifa za kinafki nazijua. Anayetaka uzandiki najua. Sifa hazinipotezagi. Tutaonana endapo tu moyo wangu umekuerewa kwa kwenda mbere[emoji23] na hiyo haimaanishi ndo utanikula hapana. Nina roho mbaya sana na mbunye yangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Uko hash Sana. Be calm lady!Wee nayee... bikira ni Maria pekee aliyepalizwa mbinguni. Una miaka mingapi wewe? Na mambo ya bikira yametokea wapi hapa kwenye huu uzi.