Lafa weweeee [emoji23][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Wadau Songea wapi pamechangamka?

Niko hapa La CHALZ, naona kama si kiivo. Hawapiti hawa ndugu zetu. Nielekezeni kijiwe kizuri basi labda tupate Cha kusimulia kesho.View attachment 1876680
La Chaz ya chatto au as kama ni ya Sinza Mori labda kama ndani ya ukuta wa mabati uliozungushiwa biashara na ukarabati vyaendelea kwa pamoja
 
Dah! Kweli yahitaji ujitoe akili sana
 
Dah yani watu wanasali we upo na mbususu[emoji23]
 
Ivi kwann wanyatulu wengi wanazaa mapema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…