Next time mkuu ukipita hii road tufahamishane tunaweza kufanya narejeo ya tukio, nitakuja PM!
 
Mkuu nimewahi kuwatongoza wengi sana humu kupitia PM ila kamwe sijawahi kuwapa details zangu kiundani. Shida ya hawa wanawake wengi huwa wanajiachia sana hawaogopi sijui kwanini? Huwa napanga nao miadi ila hata maili 100 kuzunguka eneo la miadi sitokei.
 
Haaahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

Maniner
 
Dah...!
Kwa hiyo ndo umeamua kuja kunishtaki humu?
Hujui kama mke wangu pia ni mwana Jf akupitia huu uzi sijui itakuwaje leo nyumbani!!!
Ila ukweli siku ile nilikufaidi sana aisee natamani siku nyingine uje tena Dom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…