japo ulikula ila ulikuwa unajium auma san amaelez meengi...ungesema tu njoo ulale kwangu..masula ya kulala chini mara hatujazoeana sio kabisa...au sijui unamhakikishi asalama alale na taa...nani alisema ukimhakikishia ndio hataogopa...hapo usalama sijui ni kuzumguka yani ni hivi ka a unaogopa kulala mwenyewe njoo ulale chumbani kwangu kwisha….
 
AISEE nilikuwa nataka nikalale sasa nikajikuta namalizia hii nimejikuta nacheka balaa...dah ila sure watoto wanaovaa ushungi huwa wanajua vitu ni watamu balaa japo kama kawa sio wote
 
umetunyima uhondo wa details aisee umeirusha tu ghaflaa….
 
Mwamba unaonekana una nyota sana na hawa viumbe, likely una mvuto wa pekee...nadhani unafit kwenye ile kasumba yao ya tall handsome and black.🀣🀣🀣
 
Mwamba unaonekana una nyota sana na hawa viumbe, likely una mvuto wa pekee...nadhani unafit kwenye ile kasumba yao ya tall handsome and black.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Urefu hapana, nina k unajua kimo cha kawaida sana japo si mfupi pia. Sifa yangu kubwa ambayo wengi huja kuisema baada ya kuwakera ni "mwonekano wa kiistarabu" [emoji1][emoji1]
 
AISEE nilikuwa nataka nikalale sasa nikajikuta namalizia hii nimejikuta nacheka balaa...dah ila sure watoto wanaovaa ushungi huwa wanajua vitu ni watamu balaa japo kama kawa sio wote
Ni kweli hawa nadhani huwa wanapewa mafunzo maalumu juu ya kumridhisha mume na huwa wasafi sana. Na wao huwa wanajiandaa kabisa kabla ya kukutunuku tunda.
 
Mwamba unaonekana una nyota sana na hawa viumbe, likely una mvuto wa pekee...nadhani unafit kwenye ile kasumba yao ya tall handsome and black.🀣🀣🀣

Si nyota mkuu, kikubwa ni uthubutu na ujasiri! Hawa viumbe ukiwauliza wanataka wanaume wa namna gani watakwambia mpole, mwenye nidhamu na vitu kama hivyo!

Ajabu ukiwa na tabia hizo huwapati au ukiwapata ni kwa shida sana!!

Ila ukiwa crazy, yaan akijichomeka kwenye 18 zako papo hapo unatumia unajukuta unawatafuna mno na wanakupenda sana!

Na utu uzima huu kuna mengine sasa unajikuta unaona aibu hata kuthimulia!! Wacha yapite
 
Pole sana baharia,kuna tetesi gono kwa asilimia nyingi huwa linaenda sambamba na HIV ulicheki pia afya yako kuhusu hili?
 
Mbona mi kila ninayemsoma kala tunda kimasihara naona alikua ye ndo target kuliwa kimasihara,,, kiufupi wanawake tumewala kimasihara sana

You are right! Mwanamke mpaka aje kwako, unamkula mate nae anarespond haaaah! Hapo ni "mmekulana matunda kimasihara" πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Japo wanawake hamtaki kutoa ushuhuda wenu!!
 
Kwa mwandiko huu.Hakika hivi vyuo mnasomea ujinga.
 
Hatari sana sheikh, kutoka jumatatu asbh mpaka jumatano asbh nyoka analiwa tu.
 
Pole sana baharia,kuna tetesi gono kwa asilimia nyingi huwa linaenda sambamba na HIV ulicheki pia afya yako kuhusu hili?
ingekuwa hivi bas watu tungekuwa tumewaka kweli kweli sema gono ni dalili za kupata HIV ikiwa na maana unapiga peku

we magono yote haya yangekuw yanaendana na hiv si tungekuwa tumeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…