Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wakati nafanya kazi Mkoani huko nilikuwa nimepanga nyumba ya vyumba 3 halafu nikawa naishi na junior staff mwenzangu wakati anajipanga kuanza maisha. Ilikuwa Mkoani huko.

Sasa ikaja muda flani akawa recruited staff mwingine wa kike wakati huo ndio amemaliza chuo tu. Amefika ikabidi aishi hoteli kwa kama wiki moja hivi wakati anafanyiwa utaratibu wa makazi. Sasa baadae nikatoa wazo kuwa mi kwangu kuna room moja vacant anaweza kuitumia hiyo wakati mipango mingine inaendelea ili kupunguza cost, basi ikakubaliwa.

Siku anahamia mi nikawa safari ya kama wiki moja hivi so nimekuja nikakuta ameshahamia. Sasa Siku nimefika yule staff mwingine niliyekuwa naishi naye akasafiri pia the next day kwa Safari ya Siku kadhaa so tukabaki mimi na huyo dada. Jioni yake amepika tukala, halafu tukaangalia tv kidogo baadae akalala kwenye kochi. Mi nilipochoka kuangalia tv ikabidi nimuamshe aende chumbani kwake, lakini akawa anajizungusha zungusha mi nikamuacha nikaingia room kwangu. Baada ya kama 10 mins hivi bado nikawa naona taa inawaka sitting room ikabidi niende kuangalia, nikakuta bado kalala pale pale. Nikamuamsha tena kwasababu sitting room kulikuwa na mbu kidogo. Hapo sasa ndio akaanza kusema anaogopa kulala mwenyewe chumbani anaogopa. Pamoja na kumhakikishia usalama na angalau alale taa inawaka akagoma akasema atalala hapo hapo.

Basi baada ya muda nikamwambia basi njoo ulale huku kwangu mi nitalala chini, akakubali akaenda kuchukua shuka lake akaingia chumbani kwangu. Alipoingia nikamwambia anyway kitanda kikubwa Tunaweza kushare na tusigusane so tukakubaliana.

Wakati tunavuta usingizi usiokuwepo wakati huo nikaanza kumuuliza kisa cha kuogopa kulala mwenyewe na wakati huo hatukuwa tumezoeana ki hivyo.

To cut the story short, usiku huo uliisha kwa burudani kali iliyoanzisha burudani nyingine nyingi zisizo rasmi hata yule jamaa mwingine aliporudi bado bi dada alikuwa anakuja anapewa burudani saa 11 anarudi room kwake. Bahati nzuri public toilet ilikuwa jirani na room kwangu kwahiyo ilikuwa ni mwendo wa kujifanya anaenda toilet anakula kona ya kushoto.

Tatizo liliibuka alipoanza kuona wivu girlfriend wangu alikuwa akija maana naye alikuwa anafanya kazi mkoa jirani. Na nusura Siku moja varangati lizuke baada ya girlfriend wangu kukuta kikofia cha kulalia cha kike uvunguni kwangu. Hiyo kesi ilibidi niwe mkali tu nikasema ni Fulani huwa ananisafishia mpaka huku itakuwa yake labda ilidondoka bahati mbaya. Alinunua lakini Akaamini maana hakutegemea kama ningeweza kumla yule mule ndani na alikuwa akija wanakuwa washkaji sana
japo ulikula ila ulikuwa unajium auma san amaelez meengi...ungesema tu njoo ulale kwangu..masula ya kulala chini mara hatujazoeana sio kabisa...au sijui unamhakikishi asalama alale na taa...nani alisema ukimhakikishia ndio hataogopa...hapo usalama sijui ni kuzumguka yani ni hivi ka a unaogopa kulala mwenyewe njoo ulale chumbani kwangu kwisha….
 
Semester ya kwanza mwaka wa tatu,jioni moja nilienda kumtembelea rafiki yangu ambaye alikuwa Main Campus - UDSM.
Nilipofika alikuwa yupo pale kituoni Utawala akongea na binti mmoja wa kisomali ambaye mwanzoni nilidhani ni mwarabu. Hapa naomba nimwite Minna (sio jina halisi) Walikuwa wakizungumza kuhusu laptop, basi nikatambulishwa na mazungumzo yakaendelea.
Shida ya binti ilikuwa anauza laptop yake ili anunue nyingine. Nikajitosa kwamba ninaitaka hiyo laptop, binti bila kusita akanikabidhi nikampa ahadi kwamba hela nitampatia ijumaa inayofuata ( nilikuwa nasubiria Boom na pesa ya special faculty requirements) Nilicheki laptop na nikaridhika nayo.
Jamaa yangu akakubali kuwa mdhamini.
Tukabadilishana mawasiliano na binti akasepa, nikabaki na jamaa yangu tukiendelea na story za hapa na pale na jamaa akafunguka kwamba huyo binti anamkubali sana na ana mpango wa kujiweka hapo. Nikamtakia kila la kheri.
Boom likaingia Alhamisi, usiku nikamtext kuwa hela ipo tayari, nitampelekea kesho yake, akajibu kuwa hatakuwa chuoni kesho yake hivyo atanijulisha atakaporudi. Nikamtania kuwa "hii hela nitaila ukichelewa"; akajibu "ukiila na mimi nitakukula wewe" nikabaki na kimshangao kisha nikamjibu "utaanzia kunila wapi" binti akajibu " nitaanzia kwa nyoka wako" meseji zote hizi ni kwenye SMS hivyo hakuna emoji.
Nikajibu "huyu nyoka wangu ana sumu kali" binti wa kisomali akamaliza kesi "usijali, nitamla yeye na sumu yake, wewe sema tu lini na wapi?!" Sikuamini nilichokuwa nasoma, nikamjibu "lodge, jumatatu kama utakuwa umerudi" kimya kirefu kikapita kisha akaandika "sawa, iwe mahali tulivu" .
Kwa kweli weekend hii ilikuwa ndefu sana, maana niliona siku haziendi kabisa, mawazo yote yakawa kwa binti wa kisomali. Rafiki yangu sikumweleza chochote kuhusiana na jambo hili.
Jumatatu asubuhi napokea sms "nyoka ameamka salama? Tukutane mbele ya Fairly Delight Mlimani City ( Hii ilikuwa restaurant eneo la nje ya Mlimani city kwenye geti la upande wa Survey kulikuwa na "buffee" za 10,000/- siku haipo hii restaurant).
Nikapanda Hiace ( Za Mwenge - Ubungo kupitia chuo) sijui kama hii route bado ipo. Nikafika nikamkuta mdada wa kisomali amepiga Baibui moja matata sana na ndani ana suruali tight ya jeans blue, amejiremba vya kutosha. Nilikuwa na aibu ya hapa na pale maana ilikuwa kama ndoto.
Tukazama Fairly Delight tukapiga chai na vitafunwa vya kutosha.
Saa nne kamili tukatoka, tukavuka barabara kuelekea upande wa Sinza ( pale kilipo kituo cha Daladala - ule mtaa una lodge nyingi sana.
Tukaingia lodge moja inaitwa Executive, nyoka akachezewa vya kutosha na kumwaga sumu isiyo na madhara. Mtoto alikuwa fundi sana na mwenye ashki za kutosha. Nachokumbuka nilirudi chuo jumatano saa nne asubuhi.
Hela ya laptop hakuichukua, mapenzi yakaendelea kwa kasi sana, nilipima nikaona nibaki na msomali kuliko dada mlokole ambaye alikuwa anataka ndoa wakati sikuwa hata na wazo. Dada mlokole akapata mchumba japo niliendelea kula mara moja moja.
Urafiki na jamaa yangu ukafa na jamaa akawa na hasira sana na mimi. Tumekuja kupatana mwaka 2018 baada ya kukutana Arusha kila mtu akiwa na issue zake.
AISEE nilikuwa nataka nikalale sasa nikajikuta namalizia hii nimejikuta nacheka balaa...dah ila sure watoto wanaovaa ushungi huwa wanajua vitu ni watamu balaa japo kama kawa sio wote
 
2015 maeneo ya kimara nikiwa kibandani mwangu napiga ishu ya Uwakala Wa tgpesa, m pesa na Airtel money alikuja mama fulan Wa makamo kiumri sawa na mama yangu kuniomba aweke bondi simu nimpe 25000 aongezee apeleke marejesho akatoa ahadi by jion ataja ikomboa simu,mambo hayakwenda kama alivopanga jioni akaja akaomba nimvumilie mpaka kesho akaomba namba yangu ili akiwasiliana na mmewe ela irushwe kwangu mana mmewe hayupo karibu,mida ya sambili usiku naona msg imeingia mwanangu naomba nije unipe line tu simu ubaki nayo nikamjbu hapana nikikupa hutaifata simu km vipi unipe kitu akauliza kitu gani nikamjbu chochote ili tumalizane huwezi amini nilikula mzigo siku ile ile hakuwa mtamu ndio nilichojutia alafu anakoroma balaa
umetunyima uhondo wa details aisee umeirusha tu ghaflaa….
 
Semester ya kwanza mwaka wa tatu,jioni moja nilienda kumtembelea rafiki yangu ambaye alikuwa Main Campus - UDSM.
Nilipofika alikuwa yupo pale kituoni Utawala akongea na binti mmoja wa kisomali ambaye mwanzoni nilidhani ni mwarabu. Hapa naomba nimwite Minna (sio jina halisi) Walikuwa wakizungumza kuhusu laptop, basi nikatambulishwa na mazungumzo yakaendelea.
Shida ya binti ilikuwa anauza laptop yake ili anunue nyingine. Nikajitosa kwamba ninaitaka hiyo laptop, binti bila kusita akanikabidhi nikampa ahadi kwamba hela nitampatia ijumaa inayofuata ( nilikuwa nasubiria Boom na pesa ya special faculty requirements) Nilicheki laptop na nikaridhika nayo.
Jamaa yangu akakubali kuwa mdhamini.
Tukabadilishana mawasiliano na binti akasepa, nikabaki na jamaa yangu tukiendelea na story za hapa na pale na jamaa akafunguka kwamba huyo binti anamkubali sana na ana mpango wa kujiweka hapo. Nikamtakia kila la kheri.
Boom likaingia Alhamisi, usiku nikamtext kuwa hela ipo tayari, nitampelekea kesho yake, akajibu kuwa hatakuwa chuoni kesho yake hivyo atanijulisha atakaporudi. Nikamtania kuwa "hii hela nitaila ukichelewa"; akajibu "ukiila na mimi nitakukula wewe" nikabaki na kimshangao kisha nikamjibu "utaanzia kunila wapi" binti akajibu " nitaanzia kwa nyoka wako" meseji zote hizi ni kwenye SMS hivyo hakuna emoji.
Nikajibu "huyu nyoka wangu ana sumu kali" binti wa kisomali akamaliza kesi "usijali, nitamla yeye na sumu yake, wewe sema tu lini na wapi?!" Sikuamini nilichokuwa nasoma, nikamjibu "lodge, jumatatu kama utakuwa umerudi" kimya kirefu kikapita kisha akaandika "sawa, iwe mahali tulivu" .
Kwa kweli weekend hii ilikuwa ndefu sana, maana niliona siku haziendi kabisa, mawazo yote yakawa kwa binti wa kisomali. Rafiki yangu sikumweleza chochote kuhusiana na jambo hili.
Jumatatu asubuhi napokea sms "nyoka ameamka salama? Tukutane mbele ya Fairly Delight Mlimani City ( Hii ilikuwa restaurant eneo la nje ya Mlimani city kwenye geti la upande wa Survey kulikuwa na "buffee" za 10,000/- siku haipo hii restaurant).
Nikapanda Hiace ( Za Mwenge - Ubungo kupitia chuo) sijui kama hii route bado ipo. Nikafika nikamkuta mdada wa kisomali amepiga Baibui moja matata sana na ndani ana suruali tight ya jeans blue, amejiremba vya kutosha. Nilikuwa na aibu ya hapa na pale maana ilikuwa kama ndoto.
Tukazama Fairly Delight tukapiga chai na vitafunwa vya kutosha.
Saa nne kamili tukatoka, tukavuka barabara kuelekea upande wa Sinza ( pale kilipo kituo cha Daladala - ule mtaa una lodge nyingi sana.
Tukaingia lodge moja inaitwa Executive, nyoka akachezewa vya kutosha na kumwaga sumu isiyo na madhara. Mtoto alikuwa fundi sana na mwenye ashki za kutosha. Nachokumbuka nilirudi chuo jumatano saa nne asubuhi.
Hela ya laptop hakuichukua, mapenzi yakaendelea kwa kasi sana, nilipima nikaona nibaki na msomali kuliko dada mlokole ambaye alikuwa anataka ndoa wakati sikuwa hata na wazo. Dada mlokole akapata mchumba japo niliendelea kula mara moja moja.
Urafiki na jamaa yangu ukafa na jamaa akawa na hasira sana na mimi. Tumekuja kupatana mwaka 2018 baada ya kukutana Arusha kila mtu akiwa na issue zake.
Mwamba unaonekana una nyota sana na hawa viumbe, likely una mvuto wa pekee...nadhani unafit kwenye ile kasumba yao ya tall handsome and black.🤣🤣🤣
 
Mwamba unaonekana una nyota sana na hawa viumbe, likely una mvuto wa pekee...nadhani unafit kwenye ile kasumba yao ya tall handsome and black.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Urefu hapana, nina k unajua kimo cha kawaida sana japo si mfupi pia. Sifa yangu kubwa ambayo wengi huja kuisema baada ya kuwakera ni "mwonekano wa kiistarabu" [emoji1][emoji1]
 
AISEE nilikuwa nataka nikalale sasa nikajikuta namalizia hii nimejikuta nacheka balaa...dah ila sure watoto wanaovaa ushungi huwa wanajua vitu ni watamu balaa japo kama kawa sio wote
Ni kweli hawa nadhani huwa wanapewa mafunzo maalumu juu ya kumridhisha mume na huwa wasafi sana. Na wao huwa wanajiandaa kabisa kabla ya kukutunuku tunda.
 
Mwamba unaonekana una nyota sana na hawa viumbe, likely una mvuto wa pekee...nadhani unafit kwenye ile kasumba yao ya tall handsome and black.🤣🤣🤣

Si nyota mkuu, kikubwa ni uthubutu na ujasiri! Hawa viumbe ukiwauliza wanataka wanaume wa namna gani watakwambia mpole, mwenye nidhamu na vitu kama hivyo!

Ajabu ukiwa na tabia hizo huwapati au ukiwapata ni kwa shida sana!!

Ila ukiwa crazy, yaan akijichomeka kwenye 18 zako papo hapo unatumia unajukuta unawatafuna mno na wanakupenda sana!

Na utu uzima huu kuna mengine sasa unajikuta unaona aibu hata kuthimulia!! Wacha yapite
 
Hii nyingine nakumbuka ilikuwa 2016 mida ya sa4 usiku naelekea nyumbni nikakutana na bidada Fulani ni mteja wangu sana tukapena salamu vizuri.

Anapoishi sipafahamu ndipo akanambia nakaa nyumba ile unayoiyona jirani na ile grocery akanambia kila siku nakuungisha wewe Leo kaninunulie ata Bia moja nikamjbu mmeo je akasema yeye hajaolewa ni mchepuko Wa mtu kwahyo jamaa anamtunza tu,nikamjbu poa ila sharti siendi kukaa apo grocery twende nyuma ya nyumba yako weka kiti tunywe Bia apo

Baada ya Bia kumpanda kichwan nikaomba mechi akainama nikapiga kimoja cha fasta ila kilichonipata nilijutia mana niliondoka na gono na mimba juu bada ya wiki nilipata tabu sana kukojoa nimejitibu kwa gharama na bada ya wiki kadhaa anasema ana mimba yangu na inatakiw itolewe mana jamaa akijua atakatisha matumiz
Pole sana baharia,kuna tetesi gono kwa asilimia nyingi huwa linaenda sambamba na HIV ulicheki pia afya yako kuhusu hili?
 
Mbona mi kila ninayemsoma kala tunda kimasihara naona alikua ye ndo target kuliwa kimasihara,,, kiufupi wanawake tumewala kimasihara sana

You are right! Mwanamke mpaka aje kwako, unamkula mate nae anarespond haaaah! Hapo ni "mmekulana matunda kimasihara" 😀😀😀

Japo wanawake hamtaki kutoa ushuhuda wenu!!
 
mchezo unaanza kipindi tunaelekea UE, hua kunavijidiscusion uchwala wanafunz uanzisha, kipindi hcho ndo first year.so mwamba nikaibukia na crew yangu, sehem ambayo wengi walikua ni garls tena wa COHU,
MCHEZO WAANZA.
mimi na uinjinia wangu uchwala nilikua najifanya sijui DS so nilikua naulza kila k2 kwenye discussion.bt pia nlikua natoa point strong pale nikiona swali limewashnda kalibu wote pale..
so baada ya siku mbili mwenyekt wa discussion akasema tuunde grup(Tsup).hapo ndo ikawa chanzo cha manz muhusika kupata number yangu.
WHATSAPP.
basi mi nikaendelea na mchezo wangu ule ule wa kuulza kila ki2
Ili hali nafaham baadhi ya vitu.
so manz alianzia kwenye group kunielekeza elekeza.
ikabid nizame inbox.
INBOX
huku nikaanza kujitambulisha kwa jina gumu ili nimpe attension nami..
tuliendelea kuchat chat
NAAMBULIA KUOSHA TUNDA.
Siku moja mida ya saa 10 10 hvi, nikwa nachat nae manz akadai anaumwa so katika kumuulza aje hostel mtoto akakubali,mtoto kaja had room akakuta napga story na wadau.xo nikashtua wadau wakasepa ado ado.nikabak na manz na nikaanza kumshka mashavu kutest homa,
hee kwel nikakuta anajoto.nikaanza kumuulza anaumwa nin huku nikishka shka kla mahar.we mtoto si yupo kmya.nikazamisha kidole kwe papuchi.akasema funga mlango.nikafunga mlango. xo nikaanza kuchezea kinembe,manz anahema hema,tu nikapiga deoda manz bado anahema hema. nikavua chup manz akasema nisifanye chochote,nikamwitikia kwa ishara,nikamwambia alale kwenye ktanda kwan mwanzo tulikua kwenye kti.
kufika kwenye kitanda nikazama chumvin,daah joto lake siji sahau kwan almanusura ulm uungue.nilipga dek mpaka akawa anashka kchwa changu.mzee mzma x nikajua tayar kwan kchwa kdogo kilikua knauma hatar.yan nikashusha surual na boxer.
mtoto huku anajarbu kunizuia nisiingze dudu kwan kamalza period jana yake. we ile naingza si kastukaM kwan mboo yangu ilishndwa vumilia joto la ndan,kwan nikuta k ya moto na utam hatar,had nikataka kumwaga,xo nikachomoa baada ya sec 4 tu na kumwagia mapajan. ham yote kwisha.huku manz akirembua rembua tu.nikaingza vdole kumlzsha mpaka aliposema namuumiza huku nikmnyonya mate.
nitaendelea. . .
ila CHAPUTA MBAYA japo naipenda
Kwa mwandiko huu.Hakika hivi vyuo mnasomea ujinga.
 
Semester ya kwanza mwaka wa tatu,jioni moja nilienda kumtembelea rafiki yangu ambaye alikuwa Main Campus - UDSM.
Nilipofika alikuwa yupo pale kituoni Utawala akongea na binti mmoja wa kisomali ambaye mwanzoni nilidhani ni mwarabu. Hapa naomba nimwite Minna (sio jina halisi) Walikuwa wakizungumza kuhusu laptop, basi nikatambulishwa na mazungumzo yakaendelea.
Shida ya binti ilikuwa anauza laptop yake ili anunue nyingine. Nikajitosa kwamba ninaitaka hiyo laptop, binti bila kusita akanikabidhi nikampa ahadi kwamba hela nitampatia ijumaa inayofuata ( nilikuwa nasubiria Boom na pesa ya special faculty requirements) Nilicheki laptop na nikaridhika nayo.
Jamaa yangu akakubali kuwa mdhamini.
Tukabadilishana mawasiliano na binti akasepa, nikabaki na jamaa yangu tukiendelea na story za hapa na pale na jamaa akafunguka kwamba huyo binti anamkubali sana na ana mpango wa kujiweka hapo. Nikamtakia kila la kheri.
Boom likaingia Alhamisi, usiku nikamtext kuwa hela ipo tayari, nitampelekea kesho yake, akajibu kuwa hatakuwa chuoni kesho yake hivyo atanijulisha atakaporudi. Nikamtania kuwa "hii hela nitaila ukichelewa"; akajibu "ukiila na mimi nitakukula wewe" nikabaki na kimshangao kisha nikamjibu "utaanzia kunila wapi" binti akajibu " nitaanzia kwa nyoka wako" meseji zote hizi ni kwenye SMS hivyo hakuna emoji.
Nikajibu "huyu nyoka wangu ana sumu kali" binti wa kisomali akamaliza kesi "usijali, nitamla yeye na sumu yake, wewe sema tu lini na wapi?!" Sikuamini nilichokuwa nasoma, nikamjibu "lodge, jumatatu kama utakuwa umerudi" kimya kirefu kikapita kisha akaandika "sawa, iwe mahali tulivu" .
Kwa kweli weekend hii ilikuwa ndefu sana, maana niliona siku haziendi kabisa, mawazo yote yakawa kwa binti wa kisomali. Rafiki yangu sikumweleza chochote kuhusiana na jambo hili.
Jumatatu asubuhi napokea sms "nyoka ameamka salama? Tukutane mbele ya Fairly Delight Mlimani City ( Hii ilikuwa restaurant eneo la nje ya Mlimani city kwenye geti la upande wa Survey kulikuwa na "buffee" za 10,000/- siku haipo hii restaurant).
Nikapanda Hiace ( Za Mwenge - Ubungo kupitia chuo) sijui kama hii route bado ipo. Nikafika nikamkuta mdada wa kisomali amepiga Baibui moja matata sana na ndani ana suruali tight ya jeans blue, amejiremba vya kutosha. Nilikuwa na aibu ya hapa na pale maana ilikuwa kama ndoto.
Tukazama Fairly Delight tukapiga chai na vitafunwa vya kutosha.
Saa nne kamili tukatoka, tukavuka barabara kuelekea upande wa Sinza ( pale kilipo kituo cha Daladala - ule mtaa una lodge nyingi sana.
Tukaingia lodge moja inaitwa Executive, nyoka akachezewa vya kutosha na kumwaga sumu isiyo na madhara. Mtoto alikuwa fundi sana na mwenye ashki za kutosha. Nachokumbuka nilirudi chuo jumatano saa nne asubuhi.
Hela ya laptop hakuichukua, mapenzi yakaendelea kwa kasi sana, nilipima nikaona nibaki na msomali kuliko dada mlokole ambaye alikuwa anataka ndoa wakati sikuwa hata na wazo. Dada mlokole akapata mchumba japo niliendelea kula mara moja moja.
Urafiki na jamaa yangu ukafa na jamaa akawa na hasira sana na mimi. Tumekuja kupatana mwaka 2018 baada ya kukutana Arusha kila mtu akiwa na issue zake.
Hatari sana sheikh, kutoka jumatatu asbh mpaka jumatano asbh nyoka analiwa tu.
 
Pole sana baharia,kuna tetesi gono kwa asilimia nyingi huwa linaenda sambamba na HIV ulicheki pia afya yako kuhusu hili?
ingekuwa hivi bas watu tungekuwa tumewaka kweli kweli sema gono ni dalili za kupata HIV ikiwa na maana unapiga peku

we magono yote haya yangekuw yanaendana na hiv si tungekuwa tumeisha
 
Back
Top Bottom