Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana. Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock[emoji15][emoji15][emoji33] kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
Nimewahi kutoa tunda kimasihara nilipokuwa chuo cha veta nilipenda sana kampani za mchanganyiko .
Basi siku moja tulikuwa tunabishana jambo na mtu kijana mmoja akasema jamani katoto umependeza leo nikamwambia aka unikome katika mazungumzo tukadai hivi huwezi na weza huwezi na weza mwishoni akasema twende ukaone kama naweza basi.
Basi tukaongozana na ...... na kweli kajipatia mzigo tulikuwa mimi na msichana anaitwa pachaa .
Akajilia kwa raha zake yaani mpaka kashiba na toothpick akapatiwa .
Loh basi kila mtu anabahati yake kala toothpick na chibonge mwenye umbo namba nane walahi kaenjoy.
Kwa raha zake .
 
Uko wapi?

Home

Una fanya nini?

Nipo tu nasoma soma

Una kitabua cha Shigongo?

Kipi?

Kile ulichokuja nacho library siku ile?


OOOH kile cha stephanie nnacho ndio nakisoma hapa


AAAH jamani namimi nlikua nataka nkisome D

Njoo tusome wote kama unataka

Poa nakuja

BAADA YA NUSU SAA

Hodiiii

Pitaaa sukuma

mambo D

Poa tu niaje?

Fresh nambie

Karibu sana za kupotea

Nzuri we ndo umepotea bwanaa

Aaah mi nipo tu

unaangaliaga katuni na wewe?

Ndio nacheki sana tu ndio starehe yangu na vitabu

Hii katuni inaitwaje?

Sing

nsimulie basi ikoje koje

Nkamsimulia kidogo then nkamwacha akodoe macho (kashasahau kilichomleta ni kitabu)

Unakunywaga wine?


Ndio ila nimekunywa zamaniiiii,unataka kunipa?

Hapana nimekuuliza tu,niambie nikupe nini unywe huku ukiangalia movie

Nichagulie wewe bana chochote tu

Nkaenda nkafungua fridge nkatoka na Drostdy hof nkam miminia kwenye glass,nkampa (karibuu)

Asantee,sio chungu?

Hapana we onja utaiskia

OOH KUMBE TAMU mi nlijua chungu

HAMNA hiyo n tamu tu (basi nkaendelea na kitabu changu na yeye na movie ake)

BAADA YA NUSU SAA

namuuliza,umemaliza nikuongeze?

kimyaaa,kuangalia eti kashalala

vipi mama unaskia usingizi?


Yani nimechoka D

Twende ndani ukapumzike kidogo

Mi nkalale peke angu? labda tulale wote

Kichwa kikalia Alarm triiiiing (nkasema leo ndio leo)

Ok twende namimi ntalala kidogo,nimechoka kusoma

Tukafika kitandani tukajitupa tukalala (nimetulia kimya kama sio mimi hapo)

nkaona mtu anajisogeza sogeza kwangu si unajua ile wakina dada wanavyolala

Namimi kimya nkajifanya nakoroma

Akasogea tena na tena hadi tukagusana

Nikaona huu Uboya huuuuu,hivi sisi tumelala au hatujalala? (najiuliza kimoyo moyo)

Nikauchuna mtoto akajaaa uso ukaja karibu yangu tukawa tunapumuliana kama mabeberu

Mara lips zikasogeleana

Mara zikagusana romance ikaanza

Puruku puruku mtu KALIWA


baada ya kulana usingizi ukamuisha mwenzangu

Akaamka akananiambia alikua katumwa mahali

Nkamwambia poa mi nipo

Akatoka akasepa na Mwisho ikawa hivyo


Huyo alikua ni mpenzi wangu wa kwanza kabisa kumkula bila kumtongoza

Hatukuishia hapo tuliendelea tukaja achana mbele mbele huko
 
Nimewahi kutoa tunda kimasihara nilipokuwa chuo cha veta nilipenda sana kampani za mchanganyiko .
Basi siku moja tulikuwa tunabishana jambo na mtu kijana mmoja akasema jamani katoto umependeza leo nikamwambia aka unikome katika mazungumzo tukadai hivi huwezi na weza huwezi na weza mwishoni akasema twende ukaone kama naweza basi.
Basi tukaongozana na ...... na kweli kajipatia mzigo tulikuwa mimi na msichana anaitwa pachaa .
Akajilia kwa raha zake yaani mpaka kashiba na toothpick akapatiwa .
Loh basi kila mtu anabahati yake kala toothpick na chibonge mwenye umbo namba nane walahi kaenjoy.
Kwa raha zake .
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mimi mbonaaa siweziiiiii Kama unabishaaaa twendeeeee tukaoneeeee kweli kabisaaaaaaaa
 
Wakati nasoma kuna Nyumba ya kupanga nilikuwa naishi wapangaji wengi tulikuwa wakiume na binti mmoja mzuri ambaye alikuwa hana kabisa mazoea na yeyote kati yetu alikuwa Ni mzuri na mwenye maringo sana


Siku moja jioni natoka kwenye mihangaiko yangu nakuta uani kuna kama kikao cha dharula hivi wapangaji wote wanamsema yule binti uwa anachelewa kulipa bill ya maji pale inapotoka na siku hiyo pia hakuwa na pesa cash so akaomba aende bank kutoa hakuna aliyeelewa wakajua ndiyo sounds zake za kila siku

Nilipofika nikauliza nini tatizo wakanieleza nikawaambia hamuoni aibu vidume wote kumsema binti Wa Watu kisa elfu saba? Nikawapa hiyo pesa nikaingia ghetto kwangu

Itaendela......
 
Kipindi hichooo miee Badoo mdogoo nachungaa ngombe na demu mkubwaa tuu kanizidii miaka Kama kumiii hivii nikajaribu kuomba mzigo kiutanii alichekaa akaniambiaa hayaa njoo bwaneee ilee nawekaa kamashinee kanguu nikakutanaa najotoo hataree nikamwambiaa ngojaaa ipoee Kwanzaa daaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sahiviiii ameolewaa na anawatoto wakubwaaa tuuu ilaa nikiendagaa home ananiambiagaa imeshapoaa njoooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Aisee alijua hutaweza nini...!! Mkuu huyo bado unaweza kumlaa khaa
 
Siku moja gafla simu hiyo inaita namba naijua. Anauliza sumbai upo wapi nna shida nikuone.

Nkakata simu nkajua ni mambo ya forever living màana ndio maika haya mambo yalikuaa yamepamba moto na huyu bidada alikuwa senior leader.

Gafla akatuma sms Sumbai take my phone.

Akapiga. Akaanza kulalamika. Ananiambia haiwezekani mchhumba wake amchumbie alafu aendelee kumcheat. Sasa ninacho taka nakuja unit.ie weee paka uchoke. Yani uni.tie haswaa paka hasira zangu ziishe....

............................

Siku hizi kila mtu anafamilia yake.
 
Nishawai mla shemeji yangu ,alikuwa anamtindo wakunitania mara ana kuja kunikalia kwenye mapaja mbele ya masister nikawa namwambia utakuja ntia ukhanithi bure maana mashine inasimama mpaka inauma ...
Sasa siku moja mzaha mzaha kaanza nifanyia visa tuko home ,kanikalia kalia mara akaenda zake kuoga nami nikaibuka huko huko ,akaanza niuliza uwogopi dada zako ,mimi sikumsikiliza nikanyanya mguu wake kwenye ukuta wachooo nikala mzigoooo...
Tangu hapo nikawa nikijiskia tu ananioa mashine
 
Mi nakumbuka utotoni nilishawahi kula tunda kimasihara sana u nikiwa na watoto wenzangu chini ya mwembe kuna embe lilidondoka lenyewe ardhini nikawahi kuliokota nikawa nalila kimasihara huku nikiwacheka wenzangu wanavyolitamani kwa kuwa embe ni tunda na uzi unazungumzia kula tunda kimasihara nikaona nami nishiriki kucoment.Ni hayo tu machache niyaseme kwenye thread hii
 
Unaogopa Ngoma mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Aaah nikamtest kwamba siku akija nimle samaki pande zote mbili, amekubali nipge kokotr kule,, kichwani nlikuwa natest tu ye kajaa mazima tena amedai anataka nimuoe kabisa,, alafu anapiga yowe niende nikajitambulishe,, yaaan moyo ushasita tayari,,
 
Tupe story mkuu[emoji23][emoji23]
Manzi alizinguliwa na chalii ake. Basi manzi kwa hasira akaamua kujilipua one two three code 255 akanivutiwa waya. Oya Dias leo nina story moja matata. Nikalonga nae kizazi. Nikamwambia aje ikulu ndogo hapa Chamwino. Huku huku kigiza kimeingia , mtoto akatia timu mzima mzima. Pale ikulu ndogo pana kama resort fulani ka kinywamwezi. Basi alipofika tukaanza story za kuzugia za hapa na pale huku monde mbili tatu zinaendelea kumwagika kooni.
Ilivofika mida ya wanga somo likawa limeeleweka so ikabidi baharia niandae mazingira ya kwenda kumwaga sumu. Kilichofuata ni ITV[emoji131]
 
Ngoja na mimi nichangie kukimbiza uzi.

Ilikuwa hivi kuna hela niliagizwa nimpe mdada flani hivi. Sasa huyo dada nilivyokutana naye ni pini balaa nikamuambia basi kwa kuwa namba yako ninayo tutakuwa tunawasiliana ili uje kunisalimia ghetto baada ya mawasiliano ya hapa na pale bila hata mtongozo akasema nakuja jumamosi nikamwambia poa. Mimi nikajiandaa kumpokea mgeni hee alisema anakuja saa 5 asubuhi hola mpka jioni hola nikahisi haji nikapotezea na chakula nilichomwandalia nikakipiga mwenyewe. Mara mida ya saa 2 2 naona simu inaita nishukie wapi daah akili ikaruka kidogo nikamuelekeza kafika ghetto fresh ikabidi nimsongee ugali maana masotojo yote nilishayapiga. Sasa tumekaa nikijua atasepa baada ya muda tu mara naona mida inakwenda mara paah saa nne hii hapa ikabidi nitest zali nikamwambia kaoge basi tulale si kaenda kweli kuoga katoa kanga yake kwenye mkoba wake. Daah yani nikajisemea moyoni nzi kafia kwa muuza supu kilichofuata ni kama vodacom(" Yajayo yanafurahisha").

Mpaka leo nabonyeza kizenji.
 
Nimewahi kutoa tunda kimasihara nilipokuwa chuo cha veta nilipenda sana kampani za mchanganyiko .
Basi siku moja tulikuwa tunabishana jambo na mtu kijana mmoja akasema jamani katoto umependeza leo nikamwambia aka unikome katika mazungumzo tukadai hivi huwezi na weza huwezi na weza mwishoni akasema twende ukaone kama naweza basi.
Basi tukaongozana na ...... na kweli kajipatia mzigo tulikuwa mimi na msichana anaitwa pachaa .
Akajilia kwa raha zake yaani mpaka kashiba na toothpick akapatiwa .
Loh basi kila mtu anabahati yake kala toothpick na chibonge mwenye umbo namba nane walahi kaenjoy.
Kwa raha zake .

Wanawake walioko real kama wewe ni wa kuhesabu! Nimekupenda sana leo, inaonyesha unajielewa
 
Back
Top Bottom