Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hao wametimuliwa na chalamila bado wapo wapo sana..kua mvumilivu mkuu
Vyuo vinafunguliwa lini hivi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyuo vinafunguliwa lini hivi!?
duh ata kaka yako wa damu huwezi lala nae kihasarahasara ivyo, ata mimi nisingekuacha, ungeomba ulale kwenye sofa kama hakuna basi ulale ata chini.[emoji85][emoji85][emoji85] tulizoeana tu kiaina....akawa cku moja moja anantumia lunch box, anakuja kazin kwangu twastorishaaa hadi nkamzoea Ila sikuwah kumpenda kingono. Siku moja akanambia ukifunga tupitie mahal flani/ bar tupigepige story. Basi nlipofunga nkapitia hapo nkamkuta yupo na rafiki yake. Akaniagizia st. Anne 2 kwa kuwa situmii bia. Tukakaa sana hadi mida mibaya kwa kuwa kwangu mbali nkaona si mbaya nikilala kwake. Ila napanda kitandani ndo mambo yakabadilika ikawa ugomvi anataka kwa lazima. Akanipanua Miguu kwa nguvu nlipoona nazidiwa nguvu ikabidi nijiachie tu amalize. Akalazimisha km vitatu ...tukalala kulipokucha akapiga na morning glory ya nguvu . Nilipata maumivu miguuni na mwilini ctasahau. Yy Alitaka tena na tena nkakataa mazima na kukataa mazoea. Nilipoona amegeuza uadui hadi kunitumia masela nkashtaki. Nikasubiri baada ya muda nikapimA niko salama nikamshukuru Mungu.
Hapana, nadhani mshkaj anamuongea Yule miss aliyepewa Hard board na Vodacom na alikuwa Block F.Duuuuu! Mwanangu naikumbuka hiyo siku maana yule miss alirudi night kali kama sikosei mishale ya saa 7 au 8. Nasema hivyo kwa sababu mm nilikuwa na kawaida ya kufua mishale hiyo siku za jumamosi ili asubuhi nisiwahi kuamka na nikiamka nisianze kufua nianike tu.
sasa siku hiyo huyo miss alirudi yupo tungi kinyama kanipita pale kwenye matangi ya mlango ule unaotatamana na block B nadhani kwenye ngazi anapanda kwa shida kwa kutambaa.
hapo kwenye kaolewa!!!mkuu shtuka alam ya kupakwa mafuta inakugongea kelele kuna siku yatatimia.
Daah me huwaga sipendi ku force yani uwepo ushirikiano kwa 100% ndio tunaenda sawa manzi akionesha kuto kua tayari kidogo tu nakua staki tena na mood ina isha hapo hapo.....Wapo kibao wanaoweza kuheshimu misimamo ya watu. Shemej yako tulikaa miezi 3 bila kulana na tu nalala kitanda kimoja Mara kibao tu almost kila week. Anahudumia tena huduma za maana..... Anaomba weeeee namwambia bado nakusoma [emoji12][emoji12][emoji12]. Siku nimempa hakuamini Kwan alishakata tamaa. Na siku hiyohiyo nampa kwa Mara ya kwanza zygote ikatungwa
wewe ukisimama ubunge nakupigia kila na pamoja na marafiki zangu, mrandi tu hugombei hio ubunge kupitia ccmkwa akili kama hizi ndo maana ccm inashinda uchaguzi
Mimi Nina bahati na kula matunda kimasihara ila ngoja nianze na hiiKatika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.
Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana. Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock[emoji15][emoji15][emoji33] kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.
Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
Hahahaha Mimi kwenye swala la sex lazma nipindue meza mzeeDuuh aisee ukampindua mwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Kama hujapitia hizi mambo huwezi elewa kitu, ni sawa na demu ambaye hajawahi kubakwa alafu anaona wanaobakwa wajinga, ila hajui tu!Ukitaka kujifunza uongo kaa hapa
Demu alikua na hasira ya kuachwa akaona bora umpunguze hasira tu, na ulimsaidia sana kupunguza stressMambo ya kuanza maisha.
Baada ya kumaliza chuo nilirudi zangu zoo kupumzika, baada kama ya mwaka hivi nikatimba mjini.nikafikia kwa mshkaji tuliyekuwa nao chuo, tayari ana ajira,anaa chumba kimoja,sinza.
Demu wa jamaa akawa anakuja jamaa anapiga mashine,na mimi nipo gheto,mateso makubwa nilikuwa nipata.yule binti mwanafunzi wa IFM,kila weekend lazima amletee jamaa anapiga mashine na mimi nimo bila huruma. Kuna siku washenzi wale walianza kupigana mashine mchana na mimi nipo,nikasepa zangu, yaani tulikuwa tunakula story fresh tu mara ghafla mizuka ikawapanda,nashangaa,yule demu tayari kakalia mashine,nikatoka nje machozi yananilenga lenga.
Sasa jamaa akaja pata demu mwingine kazini kwake huko,akaanza kumkwepa mkwepa yule denti,mpaka ikafikia point yule denti akagundua jamaa anademu mwingine na ndio maana jamaa anamkwepa. siku ya siku demu kaja kabana mitaa ya jirani,tukawa tunachat ananiambia yuko kwao,tegeta huko,ananiuliza kama jamaa kaisharudi,jamaa naye tunachat ananiuliza kama yule denti kaja,mi nawajibu wote ukweli,ila sikuwaambia kama kila mmoja ananiuliza.MISTAKE.
Baada ya muda,jamaa kaja,kumbe kaja na yule demu wake mpya,huyu hakuwahi kumlia mle ndani walikuwa wanaenda lodge ya jirani,ile namtumia meseji denti kwamba jamaa kafika,yaani ile naisend tu,demu mpya na yeye anaingia.MISTAKE NO.2
Hazikupita dak kumi,yule denti akatimba gheto,ukatokea ugomvi wa kuuwa mtu,jamaa na demu wake mpya wakakimbia baada ya kuwa nimemdhibiti huyu denti sababu alikuwa kama kichaa sasa. saa mbili usiku.
Namtafuta jamaa kwa simu kazima,hapatikani,Ijumaa hiyo,tukaa na shemeji mle ndani,nikamuambia twende tukale nimsindike,akasema ye haondoki hadi jamaa arudi anataka aelewe msimamo wa mahusiano yao.nikaenda zangu kupiga msosi,nikiwa huko akanitumia sms nimpelekee kitimoto na ndizi na bia mbili,nikambebea.
Kwa kifupi usiku huo nikala mzigo,asubuhi jamaa ananipia simu nikamuambia huyu yupo kalala hapa anamsubiri,akasema yeye harudi hadi jtatu jioni,nikamuambia amuambie ili aelewe,jamaa hataki hata kumtext demu wake,nikala tena mzigo siku nzima.jumapili nikamsindikiza mpaka kwao,nikala mzigo hapo hapo kwao,akachukua nguo tukarudi gheto,nikala mzigo,mpaka nilikonda.
Bwege nipo hapa nilie lala na dem(crush) room moja bila kumla[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi kila mtu Sterling, hakuna boya au bwege humu wabongo kwa fix