Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Pole sana kaka kwa kufumuliwa marinda kimasihara.

Haya ndio madhara ya kujipa ID za kike.

Ule uzi uliofutwa umethibitisha wewe ni me
 
Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho

Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara

Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba

Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara

Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF

Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
watu wanagonga ikulu tena kwa mitindo huru
 
We Nimjasiria Mali Mzuri Sana Unafanya Matangazo Kwa Weled Mkubwa, Hongera Sana
 
Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho

Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara

Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba

Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara

Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF

Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Weka picha.
 
Humu Kuna watu wamekula tunda ki harakati halafu wanasema kimasihara...huwezi kula tunda kimasihara kwa harakati za siku kadhaa,Tunda la kimasihara linaliwa pasipo Kujuana kiviiile.Mtu utakuta mpaka anamtongoza dem kwa siku kadhaa halafu akijapewa anasema ni kimasihara.
 
Sisi tunataka kula tunda kimasihara, arafu wewe unatuletea kutongoza kimasihara..

Tuelewane vizuri, kula matunda kimasihara ni ile hali ya kutumia ishara na kula tunda mda huo huo pasipo kuzungumzia jambo lenyewe sana..

nimecheka, 🤣🤣🤣 we jamaa sijamtongoza me nimemwita home kimasihara ye kaja kimasihara
 
Nipo nimejaa tele nipo likizo mm mtendaji wa kijiji
Khaaaa umeoa una roho mbaya hata kadi loooh
Nimerudi siku mingi sana
Ujue nitalia mm wa kunifanyia hivi kweli jaman
Nakuja kesho huko nitakuwa mitaa ya Kibaha
Salama my wangu
Unanikimbia eeeeh
Hahahaha, bora umerudi ,tulimiss maandishi yako ,karibu sana
 
Back
Top Bottom