Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,427
- 2,728
Basi ujue huyo mzee enzi zake alikuwa baharia. Pengine mojawapo ya hivi visa tunavyovisoma na kuburudika navyo ni vyake.Nimepanda mwendo kasi leo asubuhi, kucheki jirani yangu kwenye kioo cha simu yuko busy na huu uzi.
Halafu ni mdingi hasa, kama 55 hivi.