Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mbona shule kibao za serikali vyoo vipo humohumo bafuni???
Au shule kubwa kubwabtu ndo meona hyo[emoji3][emoji3]??
Lyamungo
Umbwe
Moshi technical
Old Moshi
Madhara ya shule za kata
 
Huu stori ni tuno tuya kusogeza siku .
Ni uongo kwa sababu hakuna mchaga anaekula kimasiara haka siku moja!
Hatupo hivyo wachaga aisee.
 
Basi baada ya mwezi nikiwa nafanya kazi pale kwa mama p nyumbani wakaanza kulazimisha nirud hasa Bibi yangu mimi nikampigia nikamuelezea kwamba sitaweza tena na mama mdogo kanitangaza kwa kila mtu borea nipambane tu huku huku nitafanikiwa akaniuliza vp kujiendeleza hata ufundi nikamwambia usijali kila kitu kitakua sawa bibi yangu alinipenda mno.

Kipind hikohiko D nae akaanza kunitafuta na mm nikawa nataka anipe update kule nini kinaendelea akasema ooh yenyewe hata bro alikua anakumendea tu ndio maana alikua anamlazimisha mama mdg urudi, mm nikamwambia kweli walipiga simu niende nikakataa wakaniuliza upo wapi nikawaambia nimepata kazi. Basi akawa ananipa hopes kibao ooh nipo tuonane bado nakupenda hata kama nimeoa nijajitahid kumuacha mke wangu taratibu ili tuwe pamoja nikamwambia sitaki na haitokaa itokee. Basi alinitumia laki 3 akaniambia itakusaidia huko ulipo na mm kipind hicho nikaamua nibadili line ili kuepuka usumbufu wa home na sakata lote Hilo.

Maisha yakaendelea nikazidi kupendeza nilikua nyumbani kwa mama p nabaki na hao watoto wadogo wawili maana walikua hawajaanza shule na huyo P yupo chekechea.

Nilikua nikipata pesa zangu natunza yani sikupenda kutumia pesa hovyo maana nilipanga nitafanya kazi kwa mda tu alafu nikapange chumba nitafute kazi nyingine tofauti na za ndani maana nilikua nachoka na fujo za watoto.

Siku moja jioni tunakula mama P alipata taarifa ya msiba wa Baba yake akawa analia ikabidi nimpigie Baba P akarudi home basi wakawa wanapanga ratiba ya kwenda huko moshi msibani. Kweli kesho yake jioni Baba p akanipa maagizo kuwa yeye na mkewe na watoto wadog 2 wataenda mm nitabaki na P Ila atawah kurud. Nikamuuliza suala la usalama maana sitaweza kukaa peke yangu wakasema watamuomba binti wa jirani awe anakuja kulala na Sisi.

Wakaenda msibani nakumbuka baada ya siku 2 Baba P aliwah kurud kutokana na biashara zake akakuta sijapika wala kufanya chochote nipo tu naangalia movie 😂😂 niliogopa ikabid niende jikoni faster kuosha vyombo akaniambia jioni usipike nawaletea chips na mwambie binti wa fulan asije maana nimerud.

Nikafanya kama nilivyoagizwa basi usiku saa mbili akarud na chips tukala na P. Nikawa nipo naangalia movie akaja sebuleni anakula akasema usiwe unaangalia movie na mtoto atajifunza vibaya basi nikazima TV nikampeleka mtoto kulala. Nilikua sijaoga hvy nikavaa kanga nikaenda bafuni humohumo ndani Ile natoka nipo kwenye korido nikapishana na Baba P niliangalia chini kwa aibu maana nilikua sijafunika kichwa nikakimbia chumbani sikutoka tena nikalala.

Asubuhi nasikia mlango unagongwa kutoka ni Baba P ananiuliza mbna umechelewa kuamka na mtoto anatakiwa shule nikaomba samahan bas nikaenda kumuandaa yeye akampeleka kwani gari lilikua tayari limepita.

Nikaanza kudeki vyumbani Ile nipo kwenye korido nadeki haraka narud nyuma nasimama hv huyo uso kwa uso tukagongana na Baba P nikateleza nikaanguka basi Baba P akanivuta hadi hijabu ilitoka nikabaki kichwa wazi yeye mwenyew akabaki amenikazia macho mm naangalia chini 🙄😒 akaniuliza hv wewe ni kabila gani mbona nywele zako sio kama zetu nikanyamaza. Akaenda chumbani kwake akasema yupo haendi kazini hvy nimpikie chai.

Nikaendelea na usafi nikaandaa chai nikarud kuoga nikamaliza nikavaa dela langu huyo nikaenda kunywa chai Baba P akatoka akaniambia usiniogope wala kuwa na wasiwasi jitahid uwe huru akaniuliza baadh ya maswali nikamjibu vizur tu. Unajua kwann nilikua namuogopa moja ni mpole na ni handsome balaaa yani ana ule weupe wa kichaga na body moja hatar maana alikua anaenda sana gym kwa hivyo alikua ni matamanio ya mwanamke yeyote tu atakayekua nae pia mkewe alikua mrembo.

Siku hiyo niliendelea na ratiba zangu kama kawaida yeye alikua busy na laptop yake chumbani na mm nikawa sebuleni had P anarud. Usiku kwenye saa 3 baada ya kumaliza Kula na P kulala na mm nikahofia nikasema bora niende nikalale tu, Ile nafungua tu mlango akaniita sebuleni alikua anaulizia remont ya TV.

Duh kuangalia siioni naanza kutafuta had pembezoni mwa sofa huku natetemeka hatar akanishika mikono akaniuliza mbona unaniogopa hvy mm kimya akasogea karibu zaid uwiii nikafunga macho akaniuliza au unanipenda unaogopa mm kimya akataka kunibusu nikainamisha uso akanishika kiuno nikamwambia sitaki unifanyie hivi niache akasema usiogope mm navutiwa na wewe kwani we ni mrembo sana nikamwambia kama ni kweli niachie niruhusu niende nikupe remont akaniuliza ipo wapi nikamwambia niliisahau jikon akaniachia nikaenda kuichukua nikampa mm huyo chumbani nikajifungia.

Ila nikawa nawaza dah yan hata sina miezi mitatu nataka kuzua balaa lingine lakin nilikua na hamu kweli ya ku do sijui ndio foolish age au tamaa nikajikaza nikalala, asubuh nimeamka nikamuaanda P kama kawaida nimerud namkuta Baba P jikoni anapika chai nikamwambia samahan nilipika tu uji wa P sikujua kama unawah kwenda. Akasema hamna shida akaniuliza mbona jana ulikimbia au ulikasirika mm kimya akasogea karibu zaid 🙄🙄 mm nikatoka hadi mlangoni bas akarud sebuleni akasema nitoe chai na nimkaangie yai.

Ile nipo napigiza yai nimesimama karibu na jiko sina hili wala lile Baba P kaja fasta kanishika kiuno amesimama nyuma yangu duh 🙄🙄 nilikua nasikia naniii ikinigusa had kwenye makalio nikaanza kulia na kumuomba asifanye anachotaka nitamwambia mama P lakini hakusikia.

Akazima jiko mm nataka nimchomoke akanivuta mkono 🤣🤣 dah nikawa sina nguvu wala ujanja kilichoendelea hapo vuta nkuvute huyo tumefika had chumbani kwangu. Baba P ni fund hatar kitandan na hv nilivyokua nina mda nilijikuta tu nimelegea akafanya yake ila cha ajabu alikua anatoa miguno na ukelele hatar kumuuliza siwezi nikanyamaza.

Yani siku hiyo alikamia mechi zaid ya lisaa nikawa nipo hoi Ile tumemaliza nikaanza kulia akawa ananiomba msamaha ooh nisamehe nimeshindwa kujizuia nikamwambia hujali hata afya na je nikipata mimba akasema hamna shida ngoja nikakununulie P2 tu umeze na nitakuja na vipimo tucheki afya, mm kimya sikuongea akatoka mm nikaendelea kulala baada ya lisaa akarud akanipa hizo p2 na maji nikanywa lakin nilikua safe tu sema sikutaka kumwambia.

Akaniambia vipimo hivi tucheki afya na mm sikuwa na wasiwasi tukapima wote tupo salama basi akaniaga anaenda kwenye ofisi zake atarud badae na zawadi yangu.

Alirud usiku saa 3 akatoka bunda la pesa ilikua milioni 2 🙄🙄🙄 nilitoa macho akaniambia za kwako nitunzie siri na nimekupenda ooh sijui ww mtamu akili yangu yote naona ipo kwako. Nikapokea zile pesa nikawaza je ningejituma kwa bed kama boyfriend wangu yule wa kijijin wa saloon alivyokua ananifundisha namna ya kusex maana had X alikua anaweka kwenye simu yake tunaangalia na kuiga, nikasema ngoja akitaka tena na mm nimpe ujuzi wangu.

Nikaenda chumbani nikaficha pesa zangu nikalala.
Asubuhi nimefanya Kaz zangu nimempeleka mtoto narud namkuta yupo na taulo sebuleni akanifata chumbani kilichoendelea hapo nilikua huru nikajituma nikampa yoteeeee had alikua anatoa choziiiiiiii. Akaniambia mama P anarud Leo hivyo tuwe makin mm nitakua nakuja mchana akiwa kazini na tusiwasiliame kwenye simu kabisa had nisajili line mpya tutakayowasiliana tu.

Jaman Baba P alikua fundi kitandan hivyo chochote alichoniambia nilikubali na kumsikiliza maana ndani ya siku moja tu nilimpenda mazimaa.

Itaendelea ilikuaje had nikatoboa maisha baada ya kukutana na Baba P ( alikua kijana tu miaka 35 sema aliwah kuoa)
Vibinti vinaliwa sana siku hizi
 
Mbona shule kibao za serikali vyoo na bafu vipo humohumo mabwenini???
Au shule kubwa kubwa tu ndo meona hyo[emoji3][emoji3]??
Lyamungo
Umbwe
Moshi technical
Old Moshi
[emoji1787][emoji1787]old moshi vyoo viko nje acha kamba
 
Back
Top Bottom