ms emmaa
Senior Member
- Jun 13, 2023
- 119
- 207
Nimekula kimasihara hapa hii leo kesho ntasimulia maana mliwa bado yupo hapa
Nimecheka sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekula kimasihara hapa hii leo kesho ntasimulia maana mliwa bado yupo hapa
Yani huyu mpaka leo kama hujamla utakuwa uko slow sana😂Wakuu hapa napoishi ninaishi nyumba moja na mpangaji mwenzangu ni demu fulani ana tako la kichokozi, sasa tuna share choo, na kamba ya kuanikia nguo.
Sasa yeye akiona nimeanika nguo zangu, kwa pembeni ataanika chupi zake, sasa leo nimeenda kuoga nimeona chooni nyuma ya mlango katundika chupi tatu za pinki aisee wakuu hii inaashiria nini hafu wiki iliyopita nilianika soksi zangu kwenye kamba lakini sizioni na nimemuuliza kagoma kasema hakuziona na tunaishi wawili tuu ndani ya fensi.
ChaiHii imeendaaView attachment 2682143
ChaiHii imeendaaView attachment 2682143
Mwamba alikumbukaje upuuzi huu wkt yuko pombeKwamba likitokea lolote wanajua mwili wataupata wapi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Masihara mpk asubuhi sio mchezo. Utujuze ukipata muda na pia endeleza makamuzi mpk maji aite mmaNimekula kimasihara hapa hii leo kesho ntasimulia maana mliwa bado yupo hapa
nimeshamkwangua, na saivi sijibu sms zake.Yani huyu mpaka leo kama hujamla utakuwa uko slow sana😂
hajajua badoHapa, aliyeliwa kimasihara ni wewe..!!
Nimekosa kosa kumla mke wa mtu kimasihara imeniuma balaaa [emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] et kinye 0Kuwa makini bro’ kinye 0 kitakuwa rehani mda wowote [emoji33]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] et kinye 0
Daaah kinye 0 ndo nini mkuuKuwa makini bro’ kinye 0 kitakuwa rehani mda wowote [emoji33]
Kwel ww ni poor brain [emoji23][emoji23]Mgogo Vitani
Una lugha za ajabu sana et kinye 0
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji1787][emoji1787] kwan akijilengesha haumli?[emoji23][emoji23] Usije ukamponza bondita mwanetu ‘mabloo’ skuizi wanatembea na vilainishi ohoo!.
Ahahahahah wewe wa kutaka kula mke wa mtu umeshajua maana ya kinye 0Kwel ww ni poor brain [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787] kwan akijilengesha haumli?