Mgogo Vitani
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 492
- 867
Mgogo Vitani
Una lugha za ajabu sana et kinye 0
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji848][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgogo Vitani
Una lugha za ajabu sana et kinye 0
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hao ni wa dsm je' sisi wa mikoan? [emoji23][emoji23][emoji23] Ila leo Kinye 0 kingeliwa maana kunawatu walikuwa wanafatilia [emoji23][emoji23]Mzee unaelewa maana ya kuwa makini? [emoji3] Kuliwa Kinye 0 ni swala la kawaida sana hasa kwa vijana wa hovyo pale mjin daslam.
Weee jamaaa wewe yaani comfortable et ""kinye 0 "" ulipata wapi hii term 🤓🤓🤓🙌🙌🙌[emoji848][emoji3]
Hao ni wa dsm je' sisi wa mikoan? [emoji23][emoji23][emoji23] Ila leo Kinye 0 kingeliwa maana kunawatu walikuwa wanafatilia [emoji23][emoji23]
Weee jamaaa wewe yaani comfortable et ""kinye 0 "" ulipata wapi hii term [emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119]
Ikiwepo na wewe kiongozi wao...Lugha za vijana wa hovyo pale mjini ‘daslam’ mkuu.
Ikiwepo na wewe kiongozi wao...
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji23]
Salout mkuu...Mm ni askarii mkuu all the way from Makao.
Salout mkuu...
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119]
Nimecheka sana leo
Endelea ulilizimisha kila mtu hutoboi humu..endeleza ulipoishiaGuys naona weng MNA PM
Story ni ya kweli kabisa Ila kutokana na bullying and torture I decided to quit mtanisamehe
Galanosi Sekondari naye mabweni yote yana vyoo ndani.Iyunga Tech
[emoji23] mzee utaachika Napo kwa mpenz wkoWakuu nina majonzi;
Crush wangu leo kavishwa pete ya uchumba na mwanaume wake.... nimehuzunika sana. Nifanyeje? Au nimpigie mpenzi wangu nimwombe ushauri?
Na uongo umekua mwingiVisa vimekwisha watu wanaanza umbeya
hongera,Juzi nilikula kizembe sana toto la Kiha
Huyu manzi nilimpiga mistari miaka mitatu iliyopita. Akaonyesha dalili baadae ghafla akanipiga block. Bahati mbaya ni ofisi jirani ambayo kila siku lazima tuonane. Japo yeye alikuwa ananikwepa maana alikula kama 50k hivi. Mimi nikampotezea huku nikimuonyesha sijamind kabisa.
Mwezi huu akaanza kunitumia sms za usiku mwema na kazi njema. Mara juzi kanialika kwake. Nimeenda pale sina hili wala lile tunapiga stori tu tena kwa makusudi nikakaa naye mbali kabisa. Mpaka saa 4 usiku, mwisho nikamuaga, tukanyanyuka anitoe getini.
Mara ghafla akazima taa na kunikumbatia. Mwanaume wa kukataa fursa kama hii hayupo, nikaliunga.
Heeee si akaniambia twende chumbani. Kwa hiyo wazee mwanamke akikuringia usitie hasira.
Umekuwa kimasikhara hapo kakaJuzi nilikula kizembe sana toto la Kiha
Huyu manzi nilimpiga mistari miaka mitatu iliyopita. Akaonyesha dalili baadae ghafla akanipiga block. Bahati mbaya ni ofisi jirani ambayo kila siku lazima tuonane. Japo yeye alikuwa ananikwepa maana alikula kama 50k hivi. Mimi nikampotezea huku nikimuonyesha sijamind kabisa.
Mwezi huu akaanza kunitumia sms za usiku mwema na kazi njema. Mara juzi kanialika kwake. Nimeenda pale sina hili wala lile tunapiga stori tu tena kwa makusudi nikakaa naye mbali kabisa. Mpaka saa 4 usiku, mwisho nikamuaga, tukanyanyuka anitoe getini.
Mara ghafla akazima taa na kunikumbatia. Mwanaume wa kukataa fursa kama hii hayupo, nikaliunga.
Heeee si akaniambia twende chumbani. Kwa hiyo wazee mwanamke akikuringia usitie hasira.
Wazee wa mkonge chai kawaha....Galanosi Sekondari naye mabweni yote yana vyoo ndani.