Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wakuu mko sawa [emoji848]
Moja kwa moja kwenye uzi.
Mi nimeoa mtoto mzuri sana kutoka singida mnyaturu. Kuna mdogo wake akasema anataka kuja kwa dada ake japo ajiendeleze na ufundi wa kushona. Nikasema haina shida sa kale ka shemeji sjui kalipewa namba na dada mtu si kakaanza kunitumia visms kakiwa bado kapo huko.
Mi nikaamua kukatongoza kakagomagoma kakadai kenyewe eti ni katoto wakati kamemaliza form 4 miaka mitatu nyuma. Mara kaseme hakajawai kabisa kusex yaani hakayajui kabisa mambo hayo.
Nikakaza kakalegea ila kakasema niwe nakafundisha sasa mdogo mdogo. Nikasema sawa.
Sasa kamekuja yaani ni muoga sjapata ona mpaka nashindwa nimuingieje sasa maana si kwa uwoga huu na ana aibu hatari sjawai ona. Ila akiwa uko kwao tulishakubaliana nimtie.

Wakuu nipeni mbinu nifanyaje sasa kwa mtu wa namna hii. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Mods mfanye moderation kwenye nyuzi za kipumbavu kama hizi.

Pelekeni jinsi ya Kula Kimasikhara.
 
Back
Top Bottom