Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Somehow the end is funny 😂😂😂
 
Ungeza na kuupiga mtoto.
 
My apologies to him, kumbe hakuwa amempiga mkewe, ila mkewe alikimbilia polisi labda baada ya kugombezwa on why hajawapikia watoto.

Mwanzo nilidhani amepelekwa polisi kwasababu kamkung'uta mkewe na ameenda kuwavimbia makanjo.
 
My apologies to him, kumbe hakuwa amempiga mkewe, ila mkewe alikimbilia polisi labda baada ya kugombezwa on why hajawapikia watoto.

Mwanzo nilidhani amepelekwa polisi kwasababu kamkung'uta mkewe na ameenda kuwavimbia makanjo.
Bado.Kasome upya uelewe.
 
Kwasababu mianamke ya kiafrika inaona kawaida kuongea na mwanaume wake bila adabu ya kike. Unamfokea mwanaume ili ugundue nini zaidi ya kipigo.
Na tutaendelea kuwalaza ndani hadi mtakapoamua kutumia akili.
 
Ni zaidi ya mara tano wife ananipeleka polisi,sijawahi kumuacha na sifikirii kumuacha Mama Jack wangu labda kifo kitutenganishe,

Asilimia themanini ya matatizo ya mwanamume hapa duniani husababishwa na mwanamke,kuna watu wapo jela,wamefungwa miaka mingi kwaajili ya mademu tu tena siyo mke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…