Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Aisee story yoote moyo wangu ulikuwa unasubir kujua ulimfanyaje baada ya kutoka daah.
 
Na kweli tuna viherehere sana.
 
Na kweli tuna viherehere sana.
 
Toka apa na shangazi zako πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Toka apa na shangazi zako πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Mashangazi sometimes wanazingua...
Wanajua watu tuna njaa njaa za kingese sijui πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nika quit mapema kabisa sinaga mambo mengi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila mianaume ya kiafrika!! Kwanini uone kumpiga mkeo ni kawaida ila wewe kukusweka ndani ni tatizo😳😳😳😳
Unaruhusiwa kuolewa na wanaume hao waliolegea wa ulaya Lakin.
 
Mkeo alifanya uamuzi sahihi ila wewe na gubu lako ukashindwa kuelewa! Siku hiyo ulimpiga vibao asingeenda polisi kuna siku ungempiga na mwichi ukamuua kabisa.
 
Mashangazi sometimes wanazingua...
Wanajua watu tuna njaa njaa za kingese sijui πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nika quit mapema kabisa sinaga mambo mengi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mashangazi ndo wenye jokeri...imshort hata wazingue bado wanakujaza kwenye mfumo
 
Ulifanya jambo jema sana kuachana na huyo Mwanamke,

Never re-friend someone that has tried to destroy your character,Money or relationship
A Snake only sheds it's skin,

There's certain disrespect that an apology or explanation just doesn't fix.
Wabongo polisi mnapachukulia kama sehemu fulani yenye laana ilhali ni sehemu kwa ajili yetu kuhakikisha tunaishi kwa amani. Huyo jamaa kupelekwa polisi ilikuwa halali kabisa ili siku nyingine atumie akili kwenye situation kama hiyo.
 
Ulioa familia masikini sana , 5 M wanajichanga na Bado haikutimia? Shukuru Mungu kilitokea hicho kisanga , wangekufanya chuma ulete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…