Mbn wacheka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa mama
Nimefurahi tuMbn wacheka
Teh teh ngoja niende hukooNimefurahi tu
Sema uonekani hadi pm naona giza tu
Ndio maana haya mahaba hayaniishi mie.Teh teh ngoja niende hukoo
Asante sana. jamani kumbe napendwaSi kweli, mbona mm nakupenda na wala sitokuacha,labda we mwenyew upendeki,..
Mimi namchukia sana jamaa mmoja De...... Kisandu. Huyu JAMAA post zake zinanikeraga sana
asanteHongera
hahaaaTeh teh teh Mimi yupoo namjua kwa picha kbsaaa lbd ukute alinitumia ya uwongo yani simpendi mpk shetani wanajua simpendiii.......
..najua anajijuaaaa[emoji57] [emoji57]
Asante sana. jamani kumbe napendwa
ndio nawapenda
kweliYeah! Mtu akikukwaza chukia ila sio milele wadau
Amekupatia kama wew vileee!???