Maybe, uwe na siku njema shemeji yangu.Nipo tu around, labda tunapishana kwenye misele tu.
Hiyo kweli. Afu kumbuka ya kwamba jf. Kuna utani pia.Sijawahi na siwezi ila nimewahi kuchukia baadhi ya kauli zao (nachukia kauli si mtoa kauli) iwe inanilenga Mimi au hata members wengine, kuna watu wanakauli chafu sana hawawezi eleze mawazo yao kwa ustaarabu
TtMambozzz
.
Ivi ulishawahi kumchukia members yeyote wa jf. Kutokana na mijadala,mabishano yanayoendelea humu.mimi binafsi sijawahi mchukia members yoyote humu jf. Hata anikashifu vipi.
Ila.
Nyie tulieni tu si hamchukii?Tutulie
Nakimbia kwa sababu naogopa za uso kutoka kwa akina fulani!!....... But for me and my house we will stick with love since hate is too great a burden to bear!!Toa la moyoni bhana, Unaenda wapi labda
Yaani tukitikaga hapa. Tunatubu kabisa[emoji16][emoji16]Jf kila mtu msafi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Umeonaee ndio mchezo wao humu kufuata mkumboJust "Be You".
Wanasemaga wa kwanza akikoment ndiyo basi wote wanaenda na mtiririko huo.
Ila shem najua wewe hutakaa unichukie.
Maybe, uwe na siku njema shemeji yangu.
Mie sichukii bhana, huwa naleft uzi...Nyie tulieni tu si hamchukii?
Hi mamito, nilikuhamu.Umeonaee ndio mchezo wao humu kufuata mkumbo
Mi sijambo. [emoji85] [emoji85]
Umeamua uwaanike kabisaMimi nitakuwa mnafiki kusema hakuna watu nawachukia humu:
Kuna watu humu ni wagomvi au wanapenda kutukana tukana hovyo, ili nisimjibu au kuendelea kukereka na issue za mtu huyo huwa naenda kwenye kitufe cha ignore nakibonyeza mchezo umekwisha.
Mfano, zamani GENTAMYCINE alikuwa ni mkorofi sana na anatukana ovyo, nikamwignore, siku hizi jamaa kabadilika sana na hata akitukanwa anajibu vizuri tu, so hayuko tena kwenye ignore list yangu.
Hii ni list yangu ya watu ambao wako kwenye ignore list kwa sababu zangu mwenyewe:
View attachment 512005
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Asante shemeji, salimia kaka yangu huko, sijui kama bado mko wote maana naogopa hata kuuliza.
HapanaMbona mimi unanichukia
HahahaMkuu kwenye hii thread hutakiwi kusema ukweli, jibu ni moja kwamba huchukii mtu sawa?
Watakwambia wNakuchukia wewe. Kwa mfanoespy na Kasie njooni huku mseme huwa mnamchukiaga nani![emoji125] [emoji125] [emoji125]............For me i have decided to stick with love since hate is too great a burden to bear!
Umeonaee ndio mchezo wao humu kufuata mkumbo
Mi sijambo. [emoji85] [emoji85]
Kuna watu siwachukii ila siwapendi pia, you can guess the feeling[emoji12] [emoji12]Mie sichukii bhana, huwa naleft uzi...
Umeona comment ya juu hapo????
Hongera kwa kujichukiaNamchukia Mkushi wa Kusi