Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

Sijawahi na siwezi ila nimewahi kuchukia baadhi ya kauli zao (nachukia kauli si mtoa kauli) iwe inanilenga Mimi au hata members wengine, kuna watu wanakauli chafu sana hawawezi eleze mawazo yao kwa ustaarabu
Hiyo kweli. Afu kumbuka ya kwamba jf. Kuna utani pia.
 
Humu wadau wanaakili nyingi sana sio ke wala me,
Mgeni ndio rahisi kuchukia, ila jamaa unakuta wanatukanana ukiwafuatikia utakuta kwenye jukwaa lingine wanapendana tena.
Mfano Siasa ni maadui michezo wote wako Barcelona au Chelsea.
 
Toa la moyoni bhana, Unaenda wapi labda
Nakimbia kwa sababu naogopa za uso kutoka kwa akina fulani!!....... But for me and my house we will stick with love since hate is too great a burden to bear!!
 
Mimi nitakuwa mnafiki kusema hakuna watu nawachukia humu:

Kuna watu humu ni wagomvi au wanapenda kutukana tukana hovyo, ili nisimjibu au kuendelea kukereka na issue za mtu huyo huwa naenda kwenye kitufe cha ignore nakibonyeza mchezo umekwisha.

Mfano, zamani GENTAMYCINE alikuwa ni mkorofi sana na anatukana ovyo, nikamwignore, siku hizi jamaa kabadilika sana na hata akitukanwa anajibu vizuri tu, so hayuko tena kwenye ignore list yangu.

Hii ni list yangu ya watu ambao wako kwenye ignore list kwa sababu zangu mwenyewe:

View attachment 512005
Umeamua uwaanike kabisa
 
espy na Kasie njooni huku mseme huwa mnamchukiaga nani![emoji125] [emoji125] [emoji125]............For me i have decided to stick with love since hate is too great a burden to bear!
Watakwambia wNakuchukia wewe. Kwa mfano
 
Back
Top Bottom