Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

Tuache unafiki kila mtu ana namna yake ya kumchukia mtu hata kama humjui..

Mfano: Huwa nachukia mtu wale wanaojiona ni manguli wa jukwaa fulani, na hao wanapatikana sana sana MMU, unakuta mtu kaanzisha uzi wake wa kuomba ushauri au msaada wa jambo fulani, mwisho wa siku wanatoke wale vihere here wanakuja kupindua mada husika na kuleta stori zao binafsi za kipuuzi ambazo kiuhalisia halikuwa dhumuni la mada husika..

Kiujumla wanawakwaza na kuwakasirisha watu kwa tabia zao za kilimbukeni.
Toa mfano hao wakuelewe haraka ili kama ni kupigana mpigane yaishe
 
Sijawahi na sijui kama itakuja kutokea,kwann nimchukie wakati simfahamu?

-Pia mbali na kuto mfahamu hii ni jamii kwa hiyo hatuwez kuwa sawa woote,lzm tupishane.

-Na ukikuta unamchukia mtu humu ichunguze akili yako vizur.unaweza hisi mzima kume ww mgonjwa siku nyingi sana
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Umeamua uwaanike kabisa

Ukiangalia vizuri utakuta kabisa kuna ambao humo wanaweza kuwa wako ignored na Members zaidi ya hata 10, ila kuna watatu nimewaignore kwa sababu za kutetea mapenzi ya jinsia moja (ushoga), so ili nisikereke na posts zao inabidi tu nifanye hivyo.
 
Mambozzz
.
Ivi ulishawahi kumchukia members yeyote wa jf. Kutokana na mijadala,mabishano yanayoendelea humu.mimi binafsi sijawahi mchukia members yoyote humu jf. Hata anikashifu vipi.
Ila.

Mimi namchukia mrisho gambo katafuna rambirambi yumo humu jukwaani anatumia ID.....
 
Ha ha ha, nasubiri kuona jibu lako na wewe.

Nakuona, kila nikijificha umeniibukia, ni nini lakini?
Hahahaa! Wacha tu niende na upepo unavyoenda.


Tatizo unapita barabarani ndio mana uwe unapita vichochoroni.

[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom