Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

All the best,kikwetu wanasema kazi njema baba
dad 3 20170508_173405.jpg

Jamani, hata kazawadi??
😀😀😀
 
sante shangazi naumwa halaf ungejua hayo mambo nina mda sana [emoji85] [emoji85] ujue nimeshasahau hata wanafanyaje
Shangazi kwani mambo gani unaongelea?
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Kimsingi nawapenda na kuwaheshm sana wana JF wote hata kama mtu aki ni discourage nafurah kwa kuwa ananijengea uwezo wa kufikiri na kufanya zaidi ya nilipo... sijawahi kumchukia mtu..
 
Back
Top Bottom