Ulishawahi kumpenda mtu at the first sight? Tueleze ilikuwaje

Ulishawahi kumpenda mtu at the first sight? Tueleze ilikuwaje

Mie ilinitokea kwenye airport moja nasubiri kubadilisha ndege ghafla uso kwa uso,macho kwa macho, tabasamu kwa tabasamu ....alikuwa ni msichana wa kiburushi tukajikuta tunasogeleana alikuwa umbali wa kama mita 17 hivi....wakati zimebaki mita saba ghafla tangazo ndege yake iko tayari anapaswa kuingia mstarini.....duuh tukabaki tukiangaliana tu kwa tabasamu kwa kadiri alivyokuwa anazidi kupotea ndivyo alivyokuwa anazidi kuwa mwekundu na kutokwa na mchozi walahii...sijui yu wapi kwa sasa.
mita 7 tu ukashindwa kuchukua hata namba?
 
Kuna kashenz kamoja kalikuja ofsin dah ***Yaaan nilipo kaona tu nilikapenda kalikua kazuri sana niliforce nikapata no yake sio siri niseme tu ukweli ni moja wa wanawake namkubali sana nashukuru alini bless mambo na mm kwa kukapenda sana nilipiga kavu ili tu nafsi yangu iwe inajua nilisha mkojolea.
[emoji478][emoji478][emoji478][emoji478]
 
Ilinitokea kwa pisi moja ivi ilikuja mtaani kwa mamdogo wake, hatukuwahi kuwa na mahusiano ila ndio mara ya mwisho kuuza mechi, yule mtoto ni mlaini sijawai ona.
Kwa sasa ni singo mazeri ananitafutaga anadhani sijui kama ana mtoto.

Mwingine ni majuzi tu, macho yalikutana nikamkazia akashusha yake kwa aibu(ana macho mazuri haswa), anakuja kurudia kuniangalia akakuta mwamba bado nampimia akatabasam nikajisemea mkeka umetiki, nikamfuata nikamsifia kapendeza na ni mzuri akashukuru, tukajitambulisha nikaomba namba akaomba zangu, nikampa. Bado nangoja anicheki 😎
 
Nimetani nielezee ila nimejikuta namkumbuka sana.
Nakumbuka after two months of dating alikuja akaniambia siku tuliyokutana tukafall in love ni siku aliyopeleka washenga kwa mwanamke.
Alilia haelewi afanye nini. Tulilia ila mwishoni ikabaki story kama Hivi.
Ngoja nikalie halafu nirudi nianze mwanzo 🥹
 
Nilimpenda dada mmoja siku ya kwanza tu namuona,sauti aisee,ule ukaribisho wake .Tatizo washikaji zangu wakawa wanasema kameshupaa kama ka dume.Na mimi baada ya kutuliza wenge nikaanza kukaona ni ka manzi flani mkomavu .Nikatoka mkuku.
 
Mwingine ni majuzi tu, macho yalikutana nikamkazia akashusha yake kwa aibu(ana macho mazuri haswa), anakuja kurudia kuniangalia akakuta mwamba bado nampimia akatabasam nikajisemea mkeka umetiki, nikamfuata nikamsifia kapendeza na ni mzuri akashukuru, tukajitambulisha nikaomba namba akaomba zangu, nikampa. Bado nangoja anicheki 😎
Chunga sana baba paroko
 
Back
Top Bottom