Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Kumbe wewe ni demu?Nifanyie mpango kwa mdogo wake basi ๐๐๐๐
Ww nyokoh mi demu mxiewwww!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wewe ni demu?Nifanyie mpango kwa mdogo wake basi ๐๐๐๐
Ww nyokoh mi demu mxiewwww!!
Zoezi la kunyanduana lilianza siku hiyo hiyo na likasababisha nikakaa Mwanza siku 5Akija Dar si ulikuwa unanyandua mkuu?
Ulifanya makosa wewe ndo ulitakiwa umuoe.
Tunda kimasiharaIlinitokea kwa pisi moja ivi ilikuja mtaani kwa mamdogo wake, hatukuwahi kuwa na mahusiano ila ndio mara ya mwisho kuuza mechi, yule mtoto ni mlaini sijawai ona.
Kwa sasa ni singo mazeri ananitafutaga anadhani sijui kama ana mtoto.
Mwingine ni majuzi tu, macho yalikutana nikamkazia akashusha yake kwa aibu(ana macho mazuri haswa), anakuja kurudia kuniangalia akakuta mwamba bado nampimia akatabasam nikajisemea mkeka umetiki, nikamfuata nikamsifia kapendeza na ni mzuri akashukuru, tukajitambulisha nikaomba namba akaomba zangu, nikampa. Bado nangoja anicheki ๐
Budha min-meMpka Leo sijui maana ya kupenda kwa sababu mimi kila mtu huwa nampenda ila kwa mwanamke huwa kuna vitu natamani tu ila kama nikumpenda nampenda tu kama ninavyopenda viumbe vyote.
โ๏ธBudha min-me
Om shanti min-me
Bless your heart buddy.
Shwaaa mara moja tuTunda kimasihara
Mwanamke alininyima papuchi yule mwanamke anasikiliza maneno ya watu yule mwanamke yule anagubu bora tulivyoachana nilikuwa nishafel kwa umkabidhi udhaifu wanguAikuwa
Alikuwa na kasumba gani kwani Mkuu ?
Bora ulipiga chini mapema. Akunyime papuchi kwani si alipewa Bure. Wanawake wajinga sanaMwanamke alininyima papuchi yule mwanamke anasikiliza maneno ya watu yule mwanamke yule anagubu bora tulivyoachana nilikuwa nishafel kwa umkabidhi udhaifu wangu
Nilienda kanisani kulikuwa na harambee kupata pesa ya ununuzi wa vyombo vya mziki,WanaJF tiririkeni Love at the first sight [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Si uanze wewe kumcheki utasubiri hadi lini?Ilinitokea kwa pisi moja ivi ilikuja mtaani kwa mamdogo wake, hatukuwahi kuwa na mahusiano ila ndio mara ya mwisho kuuza mechi, yule mtoto ni mlaini sijawai ona.
Kwa sasa ni singo mazeri ananitafutaga anadhani sijui kama ana mtoto.
Mwingine ni majuzi tu, macho yalikutana nikamkazia akashusha yake kwa aibu(ana macho mazuri haswa), anakuja kurudia kuniangalia akakuta mwamba bado nampimia akatabasam nikajisemea mkeka umetiki, nikamfuata nikamsifia kapendeza na ni mzuri akashukuru, tukajitambulisha nikaomba namba akaomba zangu, nikampa. Bado nangoja anicheki [emoji41]
Inawezekana ujaelewa chochote rudia tena kusoma.
Mwishoni pale umesema unangoja akucheki au nimesahau kusoma [emoji848]Inawezekana ujaelewa chochote rudia tena kusoma.
HalleluyaNilienda kanisani kulikuwa na harambee kupata pesa ya ununuzi wa vyombo vya mziki,
Watu walikuwa wengi toka sehemu mbali mbali, at first sight wakati wa kutoa sadaka watu wanainuka kwa msitari.
Nikamwona binti mmoja nilivurugwa mpaka nikajishangaa nikajaribu kupotezea lakini wapi.
Nikasema kabla yakuondoka lazima nimtafute, nilipotiania hiyo kuvurugwa kuka tulia
Ibada ikaisha harambee ikamalizika, wakati naondoka nika mwona tukaongea nikaomba namba, akanipa,
Good thing kilicho fuata ni harusi,
Nimke wangu wa ndoa tuna watoto wawili
1:Nina furaha na hii ndoa
2;Ni mama bora kwa watoto
3:Ni wife material , KANISA lili pata pesa ya vyombo mimi nikapata mke, both teams to score
NAWASILISHA