Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Ngoja nianze maombi ya siku 40 mlimani Ya kumfuata huko piem nimchane..au unasemaje!Sio kusema humu. Kumfata PM huyo mhusika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nianze maombi ya siku 40 mlimani Ya kumfuata huko piem nimchane..au unasemaje!Sio kusema humu. Kumfata PM huyo mhusika.
Unafikiri ni Kirahisi eee..siwezi mwambiaMyamalize jamani nimewawekea viti na glass za maji kule sebuleni PM hamjakwenda tu kuongea.
Alteza yale makelele yake sitaki mimi, afu wanaoendesha Alteza ni kama kuna kitu wanatumia kama mibangi hivi ,mbona wana vurugu sana[emoji3][emoji3]
Hahaaaaaa Eve bwanaNiliongeaga na mtu kwa simu ile sauti khaaaa nikahisi yani mtu mtu kweli, mwili mwili, fua fua baba....nlichokuja kukiona daaah ile sura hapana asee
Fina bhanaJamani I'm grateful mkuu 👏 hivi kwanini ulioa mapema aisee(joke)🙄 i love you too rafiki!
Ingekua nafasi yangu hiyo ujue😀Fina bhana
Afu huyu RRONDO yumo na kwenye list yangu huyu aje tu hapa🤔
Kabisa aisehBinafsi nimewasiliana na wanachama wengi humu ndani (ME + KE), lakini mbali na kuleteana masikhara na kudanganyana kule PM sijawahi kabisa kutaka kufahamiana na mtu humu ndani. Naamini kuna waliokuwa na nia njema na wako Genuine, lakini waovu, wauaji, watekaji, mamluki na matapeli wako wengi sana mitandaoni. Hivyo wale watu wema wanisamehe tu.........
Nashauri vijana, hata kama umependa na kuvutiwa na mwandiko wa mtu fahamu kwamba huku kwenye mitandao kila mtu huonekana ni malaika japo uhalisia hauko hivyo. Nawafahamu watu ambao wameshaumizwa na kuvurugwa kisa haya mawasiliano ya humu JF, Twitter na Instagram. Binafsi nimewahi kutumiwa links za mitego na E-Mails nyingi huko PM.
Ila kama umempenda mtu wewe jilipue at your own risk, lakini kaa ukikumbuka kwamba waliomo humu ndiyo haohao wa mtaani kwako. Tanzania ya leo imejaa watu waovu wengi mno, tumefika pabaya sana, hivyo kuwa makini (Be vigilant)......
Una nakosea ndugu Mgonga Like ???
Imeisha hiyooooNaunga mkono hoja. 😂
Aiseh huyo masta ni spesho kesi😁😁Kumbe ndio huyu? Basi atakuwa ujumbe ashaupata. Ila tayari aliemtaja anaongeza upinzani hahaha.
Wacha wakatize nae aiseh hakuna namna 😄😄Shauri yako we vunga vunga wenzako watapita nae wewe utabaki kuugulia kimya kimya tu.